johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
kundi la majambazi waliokuwa na buduki mbili aina ya SMG leo saa 12 alfajiri wamewapiga risasi na kuwaua askari wawili wa JWTZ katika tukio la utekaji nyara wa magari wilayani biharamulo mkoni kagera
tukio hilo limetokea kwenye kijiji cha Nyambale kata ya Lusahunga baada ya majambazi kuteka nyara magari matatu yaliyokuwa yaklifuatana kutoka biharamulo kwenda eneo Lusahunga kwenye mnada wa Ng'ombe
taarifa za polisi wilayani Biharamulo zimesema majambazi hao pia wamewapora abiria w amagari hayo fedha taslimuna vitu mbalimbimbali
aidha mganga mkuu wa hospitali ya wilaya ya Biharamulo Dr Grasmus Sebuyoya amethibitisha kupokea miili ya askari hao
tukio hilo limetokea kwenye kijiji cha Nyambale kata ya Lusahunga baada ya majambazi kuteka nyara magari matatu yaliyokuwa yaklifuatana kutoka biharamulo kwenda eneo Lusahunga kwenye mnada wa Ng'ombe
taarifa za polisi wilayani Biharamulo zimesema majambazi hao pia wamewapora abiria w amagari hayo fedha taslimuna vitu mbalimbimbali
aidha mganga mkuu wa hospitali ya wilaya ya Biharamulo Dr Grasmus Sebuyoya amethibitisha kupokea miili ya askari hao