Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Nimekutana na gari zinakimbizana kwa speed Kali sana nimefika eneo la DTV kuna umati wakiwepo police Wa Bank yasemekana mwezi wakiwa na gari Toyota Carina wezi waliwaona wanawake nadhani ni Wa kifiripino wamevalia mavazi meupe wakashuka na kumpora mmoja wao kwa kuuvuta mkoba wake kwa kasi ya ajabu na huyo RAIA Wa kigeni alinguka kwa kifudi fudi hadi chini mkoba ukaenda raia walistushwa na kutaharuki kuna kijana Wa kihindi alikuwa karibu na gari lake alijitolea kuwakimbiza hadi kufika mitaa ya maktaba near CMC wakapiga uturn kumpoteza maboya mhindi aliyekuwa anawakimbiza kuona hivyo mhindi akastop nae majambazi yakatoa bunduki mhindi kuona vile akapitiliza...
Akarejea kwenye eneo la tukio na kuadithia na kusema aneishika namba ambayo ni Toyota Carina silver T956 DGJ. Mwenye namba hiyo ya gari ajue gari lake linatumika kijambazi au labda wamechinga fake.
Wageni hao walikuja kwa ndugu yao anayeishi maeneo hayo yasemekana kwenye mkoba kuna pesa kiasi simu aina ya IPhone na laptop vyenye thamani... Police Wa bank NBC kichwele na Mjumbe bwana Mitesh waliwashauri wawahi faster Central police kureport...
Muda Wa tukio ilikuwa around 10:15 hivi... Tuwe Makini kutembea na vitu vya thamani usiku na mchana siku hizi za kufunga mwaka si nzuri na salama..
Naombea wezi hao majambazi washikwe haraka
Akarejea kwenye eneo la tukio na kuadithia na kusema aneishika namba ambayo ni Toyota Carina silver T956 DGJ. Mwenye namba hiyo ya gari ajue gari lake linatumika kijambazi au labda wamechinga fake.
Wageni hao walikuja kwa ndugu yao anayeishi maeneo hayo yasemekana kwenye mkoba kuna pesa kiasi simu aina ya IPhone na laptop vyenye thamani... Police Wa bank NBC kichwele na Mjumbe bwana Mitesh waliwashauri wawahi faster Central police kureport...
Muda Wa tukio ilikuwa around 10:15 hivi... Tuwe Makini kutembea na vitu vya thamani usiku na mchana siku hizi za kufunga mwaka si nzuri na salama..
Naombea wezi hao majambazi washikwe haraka