Wamajanga
Senior Member
- Jun 24, 2014
- 133
- 47
Ni kama nusu saa iliyopita majambazi yamevamia duka la bidhaa hapa stendi ya Majimatitu mita 5 tu karibu na kituo kidogo cha Polisi cha Majimatitu na hii ni mara ya tatu kuvamiwa kwa duka hili.
Mpaka sasa sijapata idadi ya waliojeruhiwa wala ya waliofariki.
Chanzo: macho yangu
Mpaka sasa sijapata idadi ya waliojeruhiwa wala ya waliofariki.
Chanzo: macho yangu