utaona macho yatakavyo watoka kisa askali kauwawa lakini huku uraiani watu wanachinjwa kama kuku..
Nimeshasema sana humu, sisi hatuna jeshi, jeshi letu has been corrupted. Ma-askali wetu wanachojua ni kuiba tu kama kina Lt. Gen. Shimbo, lakini kwenyd battle field hakuna kitu, sasa wacha wafundishwe adabu hawa jeshi-ccm...