Watu wanaosadikika kuwa majambazi wamevamia ofisi za wakala wa uchimbaji visima na ujenzi wa mabwawa- DDCA maeneo ya Ubungo chuo kikuu cha Dar es salaam na kumuua mlinzi na kufanikiwa kuvunja ofisi hizo na kuiba vifaa kadhaa.ITV
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.