MPOYOLA MT
New Member
- Dec 16, 2013
- 3
- 0
Majambazi wawili wauawa na wananchi wenye hasira kali na mmoja kujeruhiwa vibaya ikiwa amekatwa mkono na kubakia na mkono mmoja (majina yao hayakupatia mara moja) baada ya kubainika kwamba walikua wakijaribu kuiba katika soko kuu lililoko maeneo manzese katika ya mji mdogo wa tunduma hadi mda wa saa nne asubuhi miili ya majambazi hao ilikua imehifadhiwa mochwari katika hospitali iliyoko mjini hapo na mmoja wao alionekana akiendelea kulia kwa uchungu huku akigagaa nje ya eneo la hospitali ya mji huo ambayo iko karibu na soko hilo la manzese na hakuna msaada wowote uliotolewa kwa majeruhi huyo