Amanito
JF-Expert Member
- Nov 20, 2015
- 259
- 551
Aina ya silaha ni SMG... Magazini yake moja full loaded yaani ikiwekwa risasi full inakuwa na risasi 30!!Hivi risasi 300 ni nyingi au Mimi ndio sielewi?
Apo taarifa ya polisi inasema waliwakuta na magazini kumi (10) ina maana 10 x 30 = 300 risasi
Japo ni jambo la kutisha sana yaani mtu ambaye sio askari anamiliki magazini kumi za SMG!! Inabidi hao jamaa wachunguzwe vizuri..