Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
Majambazi wawili wakiyimia pikipiki wakiwa na silaha za moto wamewapiga risasi wafanyabiashara wawili wa madini ya Tanzanite arusha na kupora takribani milion 5 na madini ya milioni 90 saa 9 alasiri leo.