Alistalikopaul
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 691
- 1,882
Ni hilo lilikua jukumu lake kuhakikisha polisi wanafanya kazi kwa weledi bila hata uwepo wake. Angefanya marekebisho ya sheria kuongeza weledi kwenye jeshi letu.System hata iwe bora vipi, kama hakuna utashi wa ku-inforce hiyo system hata iwekwe na nani haiana maana. enforcers wetu hawapo. PoliCCM