Mfwalamanyambi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 433
- 102
Hivi mnajua umuhimu wa sekta ya utalii kwa uchumi wa taifa au mnachonga tu?
Umuhimu tunaujua sana!!!!!!!!!. mfano akina JK na EL kupata wateja kwenye hotels zao zilizopo Mbugani, akina maige walivyokula pesa za utalii n.k.