Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,269
- 7,386
Mkuu hizi kaz ni ngumu sana yan mtu ajitolee maisha yake kwa ajili ya wengnr.Tukio la Njiro nalikumbuka vyema Maana nilikuwa miongoni mwa wananchi waliojaa kushuhudia. Ni kweli DC alikuwa Kepten Evans Balama na Mkuu wa mkoa alikuwa Ndomba ambaye baadaye akateuliwa kuwa mnadhimu wa JWTZ.
Ila siku Ile kulikuwa na weaknesses kwa vikosi vyetu hasa decisions nini kifanyike..
Hasa baada ya kufika JWTZ wao walitaka tuu kulipua nyumba na hizo rpg..
Naelewa huyu anasema hiki, huyu vile, wananchi kelele, mzazi wa binti yowe, DC, Rc... Kulikuwa na sintofahamu kidogo Maana tukio lilikuwa sio la kawaida.
Ila at the end hekima ndio ilishinda mpaka kuwatoa humo ndani wakiwa hai.
Hongera sana vyombo vya ulinzi na usalama kwa ku risk maisha kiasi kile.
Tanzania tumewah pitia vipind vigumu sanaaa.
Ila Mungu kajalia yote yalipita