Majambazi majambazi majambazi! Mnatuibia bado mnabaka wake zetu hii too much!!!!!

Mr.Professional

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,582
258
Tukio la hivi punde la jamaa yangu wa karibu kuvamiwa na majambazi na mkewe kubakwa limezua majonzi makubwa ndani ya familia hiyo. Mwezi kama mmoja uliopita rafiki yangu alivamiwa na majambazi ambao walichukua mali nyingi lakini hawakuishia hapo kwani walimbaka mkewe pia!

Baada ya kukaa kwa wiki tatu jamaa na mkewe wakiwa na machungu makubwa wanapata machungu mengine pale wanapoenda kupima na kuambiwa mke ameambukizwa virusi vya ukimwi.

Jamaa huwa tunashauriana mambo mengi hivyo akanitonya juu ya majibu kutokana na maswahiba yaliyowakuta na anakaniomba ushauri "Je aendelee na mahusiano na mke wake wakati mke tayari ni muathirika na yeye ni mzima?" Ila anachosema anampenda mke wake kupika maelezo.

Wanajamvi hebu nisaidieni mawazo hawa ndugu wafanye nini ili kusiwe na mfarakano na familia isitengane kwani wanapendana hata mie ni shahidi.
 
kwanini apate dalili ya mawazo ya kuachana?dah atapata laana akifanya ivo...cz MKEWE AKUPENDA ABAKWE...
..WAENDE angaza wapewe muktadha wa kuishi kutokana na hali yao
..asithubutu kumuacha wala kumtenga ..aongeze mapenz ..dah ili tatizo unaweza sema mungu kanionea ivi ivi...
polen sana
 
Asimuache mkewake, nifafanulie kdg; baada ya tukio hakukutana na mkewake kimwili kwa wiki tatu mpaka alipoenda kupima?
 
So sad! Mwambie aende kwa washauri nasaha atapata ushauri wa maana sana jinsi ya kuendelea kuwa na mahusiano nae ya kimapenzi.
Mpe pole sana maana cpati picha how they are feeling.
 
kwanini apate dalili ya mawazo ya kuachana?dah atapata laana akifanya ivo...cz MKEWE AKUPENDA ABAKWE...
..WAENDE angaza wapewe muktadha wa kuishi kutokana na hali yao
..asithubutu kumuacha wala kumtenga ..aongeze mapenz ..dah ili tatizo unaweza sema mungu kanionea ivi ivi...
polen sana

Atumie protector.
Pia mungu awape subira zaidi.
 
Hii iansikitisha sana. Kesheni mkiomba ili msije mkaingia majaribuni. Bwana atuambia hivyo. Aaminiye na kubatizwa ataokoka.
 
Tukio la hivi punde la jamaa yangu wa karibu kuvamiwa na majambazi na mkewe kubakwa limezua majonzi makubwa ndani ya familia hiyo. Mwezi kama mmoja uliopita rafiki yangu alivamiwa na majambazi ambao walichukua mali nyingi lakini hawakuishia hapo kwani walimbaka mkewe pia!

Baada ya kukaa kwa wiki tatu jamaa na mkewe wakiwa na machungu makubwa wanapata machungu mengine pale wanapoenda kupima na kuambiwa mke ameambukizwa virusi vya ukimwi.

Jamaa huwa tunashauriana mambo mengi hivyo akanitonya juu ya majibu kutokana na maswahiba yaliyowakuta na anakaniomba ushauri "Je aendelee na mahusiano na mke wake wakati mke tayari ni muathirika na yeye ni mzima?" Ila anachosema anampenda mke wake kupika maelezo.

Wanajamvi hebu nisaidieni mawazo hawa ndugu wafanye nini ili kusiwe na mfarakano na familia isitengane kwani wanapendana hata mie ni shahidi.
mkuu hii ni story ya kusikitisha lakini dots haziconnect

kiutaratibu, mtu yeyote anayebakwa anatakiwa apime ukimwi, apewe ushauri na kama itatokea yuko negative then atapewa PEP (post exposure prophylaxis) na kama atakua positive basi atakuwa enrolled kwenye list ya waathirika na hivyo kupata huduma zote za waathirika

Haiwezekani mtu kubakwa na kuripoti polisi na asipimwe, uless kwamba hakuripoti tukio

kuhusu kuendelea au la, namnshauri aendelee na kumpenda na kumtunza mkewe kama ilivyoandikwa, kikubwa zaidi, kukaa na mtu unayejua status yake ni better kuliko kuishi kwa guesswork
 
wangemtenda na yy vbaya c ingekua balaa.aendelee 2 kupga ngoz "si huwaga anasema nipo tayar kufa kw ajili yako" eeeh ndio atimize ahadi
 
Asanteni sana wana jamvi kwa michango yenu mitukufu nimeiprint na kuwapatia hp wataifanyia kazi. Japo ni ngumu kwa upande wangu kulala na mama wakati najua ile kuchovya tu nami najiunga kwenye chama.Mungu akawatangulie
 
Tukio la hivi punde la jamaa yangu wa karibu kuvamiwa na majambazi na mkewe kubakwa limezua majonzi makubwa ndani ya familia hiyo. Mwezi kama mmoja uliopita rafiki yangu alivamiwa na majambazi ambao walichukua mali nyingi lakini hawakuishia hapo kwani walimbaka mkewe pia!

Baada ya kukaa kwa wiki tatu jamaa na mkewe wakiwa na machungu makubwa wanapata machungu mengine pale wanapoenda kupima na kuambiwa mke ameambukizwa virusi vya ukimwi.

Jamaa huwa tunashauriana mambo mengi hivyo akanitonya juu ya majibu kutokana na maswahiba yaliyowakuta na anakaniomba ushauri "Je aendelee na mahusiano na mke wake wakati mke tayari ni muathirika na yeye ni mzima?" Ila anachosema anampenda mke wake kupika maelezo.

Wanajamvi hebu nisaidieni mawazo hawa ndugu wafanye nini ili kusiwe na mfarakano na familia isitengane kwani wanapendana hata mie ni shahidi.
BOLD: Upendo wa kweli hushinda vikwazo vyote...shemjio hakuomba kubakwa... jamaa angefanyaje kama majambazi yangemmega yeye yakamwacha mkewe?!
 
Mungu awasaidie katika wakati mgumu sana. Kaka yetu mwambie apige goti kwa Mungu hakuna lisilowezekana.

Psalm 84:5 Blessed is the man whose strength is in You. Whose heart is set on pilgrimage.
Psalm 84:6 As they pass through the Valley of Baca, They make it a spring ; The rain also
covers it with pools.
Psalm 84:7T hey go on from strength to strength; Everyone of them appears before God in Zion.
 
mkuu hii ni story ya kusikitisha lakini dots haziconnect

kiutaratibu, mtu yeyote anayebakwa anatakiwa apime ukimwi, apewe ushauri na kama itatokea yuko negative then atapewa PEP (post exposure prophylaxis) na kama atakua positive basi atakuwa enrolled kwenye list ya waathirika na hivyo kupata huduma zote za waathirika

Haiwezekani mtu kubakwa na kuripoti polisi na asipimwe, uless kwamba hakuripoti tukio

kuhusu kuendelea au la, namnshauri aendelee na kumpenda na kumtunza mkewe kama ilivyoandikwa, kikubwa zaidi, kukaa na mtu unayejua status yake ni better kuliko kuishi kwa guesswork

Mkuu hapo kwenye PEP naomba ufafanuzi ili nami niweze kuwa mwalimu kwa wasiofahamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom