Majambazi gani hawa....?

Titus

Member
Jul 28, 2007
81
2
Jamaa mpenda wake za watu. siku moja alikuwa akila uroda na mke wa
jirani mtaa wa pili usiku wakati mumewe hayupo. Ghafla, mume karudi na
kuanza kupigahodi mlango wa mbele. mke kusikia mumewe karudi, kahamaki
na kukimbilia kumtoa jamaa kupitia mlango wa nyuma.

Jamaa alikurupuka mbio, akaruka ukuta akiwa uchi wa mnyama,akakimbia
hadi nyumbani kwake. Alipofika kwa mkewe, akamwambia kapigwa na
majambazi njiani wakamvua nguo zote na kumwibia kila kitu. Mkewe
akamwambia "Pole mpenzi lakini hawa majambazi si watu wema kabisa,yaani
wamekuvua nguo zote na kukuvalisha Condom!



nomaaaaaaaaaaaaaaa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
She must be proud of his husband taking care of his life and her life.
 
Back
Top Bottom