comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa Kassim Majaliwa ameagiza Mamlaka ya mapato nchini TRA kutowatoza kodi za majengo wazee wenye miaka 60 na kuendelea, Waziri MKuu ameongea hayo wilayani Chato wakati akizindua jengo la mamlaka ya mapato wilaya ya Chato Mkoani Geita