Kikwete mwanajeshi.Yeye inamuuma nini watu kuwa huru kutoa maoni?
Hivi kuna kiongozi amewahi kutukanwa kama Kikwete? Mbona hakuwahi kuhangaika na wanaotoa maoni yao?
Anajiamini Kama soldier.
Hawa wengine unakuta mtu ananuka mdomo, ukimuambia akapige mswaki anasema umemkosea heshma. Mwizi apewe heshma gani