Majaliwa: Kumejitokeza tabia ya Watu kutumia vibaya Uhuru wa kutoa Mawazo kwenye Mitandao

Akiahirisha Shughuli za Bunge, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza Waziri wa Katiba, Waziri wa Mambo ya Ndani, Nje, Waziri wa Utumishi, Waziri wa Mawasiliano kutumia Sheria, kanuni na taratibu kuhakikisha vitendo vya matumizi mabaya ya mitandao vinadhibitiwa

Majaliwa amesema "Hivi karibuni kumejitokeza tabia ya baadhi ya watu kutumia vibaya haki ya uhuru wa mawazo. Matumizi mabaya ya mitandao yamesababisha kusambazwa kwa taarifa za upotoshaji na wakati mwingine kudhalilisha Watu, vikundi ama Viongozi"
Kassim majaliwa hajawahi kunivutia, ana bahati ila hana Karama ya uongozi. Anataka kila mtu amsifie na kumpongeza hata kama wamevurunda!
 
Akiahirisha Shughuli za Bunge, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza Waziri wa Katiba, Waziri wa Mambo ya Ndani, Nje, Waziri wa Utumishi, Waziri wa Mawasiliano kutumia Sheria, kanuni na taratibu kuhakikisha vitendo vya matumizi mabaya ya mitandao vinadhibitiwa

Majaliwa amesema "Hivi karibuni kumejitokeza tabia ya baadhi ya watu kutumia vibaya haki ya uhuru wa mawazo. Matumizi mabaya ya mitandao yamesababisha kusambazwa kwa taarifa za upotoshaji na wakati mwingine kudhalilisha Watu, vikundi ama Viongozi"
Kama wewe ulivyosema rais anachapa kazi mzima... matumizi mabaya
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mh PM Majaliwa kafanya vyema kuunda tume ya kuangalia mwenendo wa bei ya mafuta ya Petrol, Diesel, mafuta ya ndege na taa. Tume ifanyekazi ikiweka uzalendo mbele tozo zipungue na bei itapungua lazima. Uzuri mafuta yanagusa wigo mpana wa bei kupitia gharama za usafirishaji wa bidhaa muhimu za matumizi ya kila siku. Huyu ndiye Mh Majaliwa Majaliwa tunaye mjua kiongozi msikuvu, mnyenyekevu na anayejali wakati wote.
 
Ningumu kuelewa huyu mtu anasimamia hasa nini? Kilimo,viwanda,elimu amanini?? Bora hata pinda alikomaa zake na nyuki huyu hamna
 
Kumetokeza tabia mbaya ya Viongozi kuwadangaya Watanzania kwenye mambo muhimu au hata kuwatusi raia hadharani.




27B60E63-E010-4264-81D4-FA78C5BE06FC.jpeg

Akiahirisha Shughuli za Bunge, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza Waziri wa Katiba, Waziri wa Mambo ya Ndani, Nje, Waziri wa Utumishi, Waziri wa Mawasiliano kutumia Sheria, kanuni na taratibu kuhakikisha vitendo vya matumizi mabaya ya mitandao vinadhibitiwa


Majaliwa amesema "Hivi karibuni kumejitokeza tabia ya baadhi ya watu kutumia vibaya haki ya uhuru wa mawazo. Matumizi mabaya ya mitandao yamesababisha


kusambazwa kwa taarifa za upotoshaji na wakati mwingine kudhalilisha Watu, vikundi ama Viongozi"
 
Akiahirisha Shughuli za Bunge, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza Waziri wa Katiba, Waziri wa Mambo ya Ndani, Nje, Waziri wa Utumishi, Waziri wa Mawasiliano kutumia Sheria, kanuni na taratibu kuhakikisha vitendo vya matumizi mabaya ya mitandao vinadhibitiwa

Majaliwa amesema "Hivi karibuni kumejitokeza tabia ya baadhi ya watu kutumia vibaya haki ya uhuru wa mawazo. Matumizi mabaya ya mitandao yamesababisha kusambazwa kwa taarifa za upotoshaji na wakati mwingine kudhalilisha Watu, vikundi ama Viongozi"
Hapo kwenye waziri wa mambobya nje ni wazi mlengo ni yule mwehu wa ubelgiji
 
Huyo wa Ubelgiji ni akili kubwa. Asijisumbue, ataaibika sana. Mwenzie anasikilizwe na wenye akili kubwa kwenye mataifa ya watu wastaarabu, yeye maajaliwa anasikilizwa mwisho Kigoma, tena anasikikizwa zaidi na low brains.
 
Kama kulikuwa na neno kuwa rais Samiah anashauriwa vibaya basi huyu jamaa ni mmojawapo pamoja na Mwigulu Nchemba,Job Lusinde,Job Ndugai hawa ndiyo wanaomharibia huyu mama ili 2025 wamwondoe kirahisi.
Yeye mama hana akili?
 
Akiahirisha Shughuli za Bunge, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza Waziri wa Katiba, Waziri wa Mambo ya Ndani, Nje, Waziri wa Utumishi, Waziri wa Mawasiliano kutumia Sheria, kanuni na taratibu kuhakikisha vitendo vya matumizi mabaya ya mitandao vinadhibitiwa

Majaliwa amesema "Hivi karibuni kumejitokeza tabia ya baadhi ya watu kutumia vibaya haki ya uhuru wa mawazo. Matumizi mabaya ya mitandao yamesababisha kusambazwa kwa taarifa za upotoshaji na wakati mwingine kudhalilisha Watu, vikundi ama Viongozi"
Maria space ya tweeter ishawakera
 
Akiahirisha Shughuli za Bunge, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza Waziri wa Katiba, Waziri wa Mambo ya Ndani, Nje, Waziri wa Utumishi, Waziri wa Mawasiliano kutumia Sheria, kanuni na taratibu kuhakikisha vitendo vya matumizi mabaya ya mitandao vinadhibitiwa

Majaliwa amesema "Hivi karibuni kumejitokeza tabia ya baadhi ya watu kutumia vibaya haki ya uhuru wa mawazo. Matumizi mabaya ya mitandao yamesababisha kusambazwa kwa taarifa za upotoshaji na wakati mwingine kudhalilisha Watu, vikundi ama Viongozi"
Mwambiemi agunge mitandao yote nchini ili turudi kuwa na magazeti la Uhuru, Mzalendo na mfanyakazi kama miaka ya 80 na 90.
 
kwa kauli hizi za Majaliwa inawezekana alichosema TAL kuhusu mama kuwekwa mateka zinaweza kuwa kweli.
 
Back
Top Bottom