Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,500
- 9,279
Akiahirisha Shughuli za Bunge, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza Waziri wa Katiba, Waziri wa Mambo ya Ndani, Nje, Waziri wa Utumishi, Waziri wa Mawasiliano kutumia Sheria, kanuni na taratibu kuhakikisha vitendo vya matumizi mabaya ya mitandao vinadhibitiwa
Majaliwa amesema "Hivi karibuni kumejitokeza tabia ya baadhi ya watu kutumia vibaya haki ya uhuru wa mawazo. Matumizi mabaya ya mitandao yamesababisha kusambazwa kwa taarifa za upotoshaji na wakati mwingine kudhalilisha Watu, vikundi ama Viongozi"
Majaliwa amesema "Hivi karibuni kumejitokeza tabia ya baadhi ya watu kutumia vibaya haki ya uhuru wa mawazo. Matumizi mabaya ya mitandao yamesababisha kusambazwa kwa taarifa za upotoshaji na wakati mwingine kudhalilisha Watu, vikundi ama Viongozi"