mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Akizungumza Jana mjini Mtwara bwana majaliwa amedai kuwa "uchambuzi wa kimazingira umekamilika na punde tukiingia madarakani tutaanza ujenzi wa reli mpya toka bandari ya Mtwara hadi liganga na mchuchuma zaidi ya umbali wa 1000km"
Chanzo
China Radio international kiswahili (CRI kiswahili)
Mytake
Hii ndio serikali ya awam ya tano ni reli ,flyover, ndege tuu kama hutak kajitusu 28/10_2020
Chanzo
China Radio international kiswahili (CRI kiswahili)
Mytake
Hii ndio serikali ya awam ya tano ni reli ,flyover, ndege tuu kama hutak kajitusu 28/10_2020