#COVID19 Majaliwa, Jaffo na Vigogo Afya Waachie Ngazi

Angalia uongo wa polisiccm kuhusu kukamatwa kwa Mbowe. Hivi yule dhalimu mwendazake kama Mbowe angekutwa na hatia ya kupanga njama ya kuua Viongozi wa juu Serikalini angemwacha huru tangu September mwaka jana?


Huo upuuzi hata mtoto mdogo hawezi kuukubali.

Huo ni uongo usioweza kumdanganyana nao hata mjinga.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ni jambo la kheri kuwa sera rasmi kuhusiana na Covid-19 hatimaye imebadilika uelekeo kwa nyuzi 180. Kwamba kama uelekeo ulikuwa mashariki, tumegeuka nyuma kuelekea magharibi.

Mwanga mpya wa matumaini unaanza kujitokeza. Chanjo toka kwa wahisani tuliowaanzishia mabeberu zimeanza kutufikia bila malipo.

Utaratibu wa haraka na ufanywe sasa ili chanjo zilizopo zianze kutolewa kwa wanaozihitaji pasipo na muda kupotea tena.

Ikumbukwe tulikuwa tumetanga mbali huku tukijidanganya kuwa tuko vizuri:
View attachment 1866962

Wakati hali kamili mahospitalini ikiendelea kuwa mbaya zaidi:

View attachment 1866961

Tungali na tatizo kubwa la uelewa lilosababishwa na porojo za awamu ile kuhusiana na huu ugonjwa.

Wasiokubali bado kuwa ugonjwa huu upo na wala si vita vya kiuchumi wangalipo na ni wengi. Wasiokubali chanjo kuwa ni salama, upigwaji na zenye kushutumiwa kuteketeza afya zetu kama njama tu za mabeberu nao wangalipo na si wachache.

Kuwafumbia macho waliotufikisha hapo bila kuwawajibisha, hakuwezi kuwa na manufaa. Ni muhimu sana waliokuwa vinara wa upotoshaji huu wakaachia ngazi wenyewe kwa manufaa ya taifa kwa kujiuzulu au kwa kufurushwa.

View attachment 1867074

Kwamba mawaziri Majaliwa, Jaffo na vigogo wote wizara ya afya wangalipo ofisini kuendelea na mapambano na ugonjwa huu? Bado wana dhima ipi hawa dhidi ya ugonjwa huu?

Kuwa na timu mpya kutaleta msukumo na mwanzo mwingine utakaotuletea kuwa na tija zaidi. Kutambua na kukiri wazi wazi kuwa tulipotoka kutapunguza ukakasi kwenye kuwataka waumuni wa awamu ile nao kubadilisha uelekeo.

Hii pia ingekuwa funzo kwa wote kwenye kusisitiza uwajibikaji katika dhidi ya maslahi yoyote binafsi.

Hao kujiuzulu haitoshi, walitakiwa watubu na kukiri makosa yao mbele ya wananchi wote !
20210326_090345.jpg
 
Hao kujiuzulu haitoshi, walitakiwa watubu na kukiri makosa yao mbele ya wananchi wote !View attachment 1867202

Kiuhalisia kunatakikana baraza jipya kwa mwanzo mpya:

 
Narudia tena siku ukitia akili kichwani utaelewa tu. Hivi vitu vinahitaji akili kubwa ili kuvielewa.

Anaweza kuwa na mipango yake, lakini huwezi kuithibitisha kupitia fake conversation.
 
Mimi si mwanasiasa bali najali sana yote yanayojiri nchini ikiwemo dhuluma na udhalimu wa kutisha kama vile kutekwa, kupotezwa, kubambikiwa kesi FEKI etc ili tu wahuni waendelee kutenda dhuluma na udhalimu wao nchini wa miaka nenda miaka rudi. Ndiyo maana nasema siku ukitia akili kichwani utaelewa tu.
Wewe ndo unashindwa kutumia akili ,upo kisiasa zaidi na mimi nipo neutral nikitumia akili na ujuzi wangu.
 
One plus one is always 2 if you follow carefully what is going on in our beloved country for the last 10 years or so you’ll see the trend.
Nakubaliana nawewe,ila siyo kutumia habari fake
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom