- Thread starter
- #21
Angalia uongo wa polisiccm kuhusu kukamatwa kwa Mbowe. Hivi yule dhalimu mwendazake kama Mbowe angekutwa na hatia ya kupanga njama ya kuua Viongozi wa juu Serikalini angemwacha huru tangu September mwaka jana?
Huo upuuzi hata mtoto mdogo hawezi kuukubali.
Huo ni uongo usioweza kumdanganyana nao hata mjinga.