Mwigulu hafai hata ukatibu kata hebu acheni upuuzi
Mwigulu huyu au mwingine 🤣🤣🤣
Nikukumbuka kauli za mzee 'JPM' ukiona mpinzani /ama wapinzani wako/ama wenu wanakushangilia jua unakoseaBwana Mwigulu Nchemba tuondolee upuuzi wako hapa. Wewe hata ubunge umekuzidi kimo.
Assad ni mzuri kweli ila tatizo anakosa sifa za kikatiba kuwa na wadhifa wowote ule kwenye serikali ya jamuhuri ya muungano kwa sasa.Ningekuwa mimi ndio SSH Vp wangu ningemchangua William Lukuvi na Vp wangu awe Profesa Ibrahim Juma Assad CAG Mstaafu
Nchi kubwa ya Tanzania si nyepesi; serikalini si kwepesi, chamani si kwepesi, na uraiani si kwepesi
Kwa hiyo Mh. SSH anatakiwa kuwa na wasaidizi very bold 'strong'
- Wanaoijua siasa
- Wanaokijua chama
- Wanaoijua serikali (ki muundo, mfumo na taratibu)
- Wanaowajua na watakao wamudu watanganyika wenzao ambao huwa na sifa za ubishi, utemi, mfumo dume, upigaji (wizi, rushwa na ufisadi), nk.
- Bila kusahau sifa za msingi za uzalendo, bidii ya kazi, ubunifu, na nk.
Option 1
VP - Majaliwa
PM - Mwigulu
Option 2
VP - Nchimbi
PM - Mwigulu
Sifa zao 'kibinafsi'
Majaliwa - yeye pamoja na Mh. SSH walikuwa wasaidizi wa juu kabisa wa mzee, pia alizunguka kuinadi ilani, kwa hiyo naye pia anajua vilivyo mipango na matarajio ya mzee (watasaidiana kuikamilisha)
Mwigulu - amehudumu chamani na serikalini (kama mtumishi wa uma na kiongozi kupitia nafasi za kisiasa), ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH kwa hiyo anafaa kutumwa tumwa (leo Mara, kesho Mbeya, kesho kutwa Arusha)
Nchimbi - amehudumu chamani na serikalini, na kwenye nyanja za kimataifa 'kama balozi', naye pia ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH
Mwigulu hafai,ni jambazi na gaidi.Nchi kubwa ya Tanzania si nyepesi; serikalini si kwepesi, chamani si kwepesi, na uraiani si kwepesi
Kwa hiyo Mh. SSH anatakiwa kuwa na wasaidizi very bold 'strong'
- Wanaoijua siasa
- Wanaokijua chama
- Wanaoijua serikali (ki muundo, mfumo na taratibu)
- Wanaowajua na watakao wamudu watanganyika wenzao ambao huwa na sifa za ubishi, utemi, mfumo dume, upigaji (wizi, rushwa na ufisadi), nk.
- Bila kusahau sifa za msingi za uzalendo, bidii ya kazi, ubunifu, na nk.
Option 1
VP - Majaliwa
PM - Mwigulu
Option 2
VP - Nchimbi
PM - Mwigulu
Sifa zao 'kibinafsi'
Majaliwa - yeye pamoja na Mh. SSH walikuwa wasaidizi wa juu kabisa wa mzee, pia alizunguka kuinadi ilani, kwa hiyo naye pia anajua vilivyo mipango na matarajio ya mzee (watasaidiana kuikamilisha)
Mwigulu - amehudumu chamani na serikalini (kama mtumishi wa uma na kiongozi kupitia nafasi za kisiasa), ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH kwa hiyo anafaa kutumwa tumwa (leo Mara, kesho Mbeya, kesho kutwa Arusha)
Nchimbi - amehudumu chamani na serikalini, na kwenye nyanja za kimataifa 'kama balozi', naye pia ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH
We bata niniNchi kubwa ya Tanzania si nyepesi; serikalini si kwepesi, chamani si kwepesi, na uraiani si kwepesi
Kwa hiyo Mh. SSH anatakiwa kuwa na wasaidizi very bold 'strong'
- Wanaoijua siasa
- Wanaokijua chama
- Wanaoijua serikali (ki muundo, mfumo na taratibu)
- Wanaowajua na watakao wamudu watanganyika wenzao ambao huwa na sifa za ubishi, utemi, mfumo dume, upigaji (wizi, rushwa na ufisadi), nk.
- Bila kusahau sifa za msingi za uzalendo, bidii ya kazi, ubunifu, na nk.
Option 1
VP - Majaliwa
PM - Mwigulu
Option 2
VP - Nchimbi
PM - Mwigulu
Sifa zao 'kibinafsi'
Majaliwa - yeye pamoja na Mh. SSH walikuwa wasaidizi wa juu kabisa wa mzee, pia alizunguka kuinadi ilani, kwa hiyo naye pia anajua vilivyo mipango na matarajio ya mzee (watasaidiana kuikamilisha)
Mwigulu - amehudumu chamani na serikalini (kama mtumishi wa uma na kiongozi kupitia nafasi za kisiasa), ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH kwa hiyo anafaa kutumwa tumwa (leo Mara, kesho Mbeya, kesho kutwa Arusha)
Nchimbi - amehudumu chamani na serikalini, na kwenye nyanja za kimataifa 'kama balozi', naye pia ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH
Hamna kitu hapoNchi kubwa ya Tanzania si nyepesi; serikalini si kwepesi, chamani si kwepesi, na uraiani si kwepesi
Kwa hiyo Mh. SSH anatakiwa kuwa na wasaidizi very bold 'strong'
- Wanaoijua siasa
- Wanaokijua chama
- Wanaoijua serikali (ki muundo, mfumo na taratibu)
- Wanaowajua na watakao wamudu watanganyika wenzao ambao huwa na sifa za ubishi, utemi, mfumo dume, upigaji (wizi, rushwa na ufisadi), nk.
- Bila kusahau sifa za msingi za uzalendo, bidii ya kazi, ubunifu, na nk.
Option 1
VP - Majaliwa
PM - Mwigulu
Option 2
VP - Nchimbi
PM - Mwigulu
Sifa zao 'kibinafsi'
Majaliwa - yeye pamoja na Mh. SSH walikuwa wasaidizi wa juu kabisa wa mzee, pia alizunguka kuinadi ilani, kwa hiyo naye pia anajua vilivyo mipango na matarajio ya mzee (watasaidiana kuikamilisha)
Mwigulu - amehudumu chamani na serikalini (kama mtumishi wa uma na kiongozi kupitia nafasi za kisiasa), ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH kwa hiyo anafaa kutumwa tumwa (leo Mara, kesho Mbeya, kesho kutwa Arusha)
Nchimbi - amehudumu chamani na serikalini, na kwenye nyanja za kimataifa 'kama balozi', naye pia ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH
Huwa najiuliza huyu mwigulu kinacho mbeba ni nini hadi watu waone anaweza. Au kile kitambaa na tai zenye rangi ya Tz.Mwigulu hafai hata ukatibu kata hebu acheni upuuzi
Professor Ibrahimu Juma na Assad walijiunga na ccm lini mkuu?Ningekuwa mimi ndio SSH Vp wangu ningemchangua William Lukuvi na Vp wangu awe Profesa Ibrahim Juma Assad CAG Mstaafu