Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,067
Nimemsikia kwa masikio yangu mimi mwenyewe Ndugu Kasimu Majaliwa akimnadi Dr Magufuli kabla ya kupokea simu yake, ambapo ili achaguliwe Mh Magufuli " amewahonga " wananchi wa Lwangwa ujenzi wa barabara hadharani.
Hii si sawa, ikiwa kama kampeni zimeruhusiwa basi ni vema vyama vyote vikapewa uwanja sawa, vinginevyo Mh Waziri Mkuu anapaswa kuomba radhi.
Hii si sawa, ikiwa kama kampeni zimeruhusiwa basi ni vema vyama vyote vikapewa uwanja sawa, vinginevyo Mh Waziri Mkuu anapaswa kuomba radhi.