Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Ni kwa ajili ya kupinga uamuzi wa Rais Mohammed Mursi kujilimbikizia mamlaka makubwa kwa kupitisha decree inayominya mamlaka ya Mahakama dhidi ya maamuzi yake!
Source: BBC.
My take: Kwa Tanzania Majaji kuungana na Wananchi kuitisha mgomo ni jambo gumu sana hata kama uhuru wao ukiminywa!
Source: BBC.
My take: Kwa Tanzania Majaji kuungana na Wananchi kuitisha mgomo ni jambo gumu sana hata kama uhuru wao ukiminywa!