Majaji wa Kenya

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,407
8,897
kuna kitu ambacho nimekuwa sikielewi na ninaomba maelezo kuhusu hili hasa kwa watu wanaosomea sheria hivi ni kwa nini majaji wa nchi ya kenya wanavaa kitambaa cheupe cha taulo taulo kichwani (wigi), Je ina maana yeyote ktk mambo ya kisheria, je inahusiana labda na dini au utamaduni wa huko Kenya! nilitaka kuambatanisha picha yao lkn nimeshindwa kuikopi...
 
kuna kitu ambacho nimekuwa sikielewi na ninaomba maelezo kuhusu hili hasa kwa watu wanaosomea sheria hivi ni kwa nini majaji wa nchi ya kenya wanavaa kitambaa cheupe cha taulo taulo kichwani (wigi), Je ina maana yeyote ktk mambo ya kisheria, je inahusiana labda na dini au utamaduni wa huko Kenya! nilitaka kuambatanisha picha yao lkn nimeshindwa kuikopi...

Ni kasumba ya ukoloni/kutawaliwa wa Uingereza (colonial legacy). Mantiki kisheria kuvaa wigi hakuna maana yoyote.
 
Ni kasumba ya ukoloni/kutawaliwa wa Uingereza (colonial legacy). Mantiki kisheria kuvaa wigi hakuna maana yoyote.
kumbe ni kutoka uingereza na wanavaa kwa sababu ya kuwa wameambiwa tuu wavae na mtu mwingine, kwa hiyo inawezekana kabisa kwamba watu wengi huko Kenya hawaelewi maana ya viongozi wao kuvaa hilo wigi. Asante kwa maelezo yako
 
Back
Top Bottom