king joniva
JF-Expert Member
- May 14, 2018
- 262
- 295
Asikwambie mtu!!. Nilikanyaga had Yule anajiitaga Financial services 😂😂Hahahaaa, ndyo wewe uliyekanyaga kila mtu ,kajinga wewee
Asikwambie mtu!!. Nilikanyaga had Yule anajiitaga Financial services 😂😂Hahahaaa, ndyo wewe uliyekanyaga kila mtu ,kajinga wewee
Hahaa, kama ndyo huo wimbo hata sitokwambia kama washakuja Dar, nani anataka kusikia mambo ya mabata sasa? tafuta masongs mengine mbona yapo shazi tuu.
Wakija dar unisindikize nataka nikaimbe ule wimbo wa mabata madogo yanaogelea.
Hahaa, kama ndyo huo wimbo hata sitokwambia kama washakuja Dar, nani anataka kusikia mambo ya mabata sasa? tafuta masongs mengine mbona yapo shazi tuu.
Ewaaa, hizo ndyo nyimbo sasaIpi sasa nyingine?
Au nikaimbe mkono wa bwana?
Ewaaa, hizo ndyo nyimbo sasa
Hahaaa, mi nakupa no in Master j's voiceNakutumia voice notes nikiimba baadae uanze kunihakiki kwanza wewe.
Nimeamini kweli bado hunipendi 😢😢Hahaaa, mi nakupa no in Master j's voice
BSS haina mvuto tena majaji wenyewe wazee wa miaka na miaka kwanini wasipishe majaji wapya? Sijawahi wazaga kuangalia upumbavu wa bss