Nchi ya kubahatisha hii; who cares?. Utashangaa polisi wanajifanya busy na uchunguzi then baada ya siku wanaipotezea soo yote. Ingekuwa nchi za watu wanaojali uhai na thamani ya maisha wale wote waliohusika kwa kuanzia na mama wa watoto hawa wangejulikana within 10 hours. Kwanza wangechukua DNA ya watoto hao na kuhifadhi then wangeanza na ku-track wajawazito wote. Hiyo shuka waliofunikwa nayo ilikuwa ni kigezo tosha cha kujua ilipotoka. Ila sisi tumekalia blah blah blah. Na usikute mwisho wa siku kumaliza mambo tutahusisha watoto hawa na ushirikina then hapo kila mtu ataishia kuwa na hisia kuwa huwezi kumkamata mchawi kwa mbinu za kipolisi.
Hapa kuna mambo makuu mawili. Either Hospital ya mwananyamala kutakuwa na mchezo wa dili za kutoa mimba zilizokomaa au neonatal unit kama ina exists imefanya makosa na kusababisha vifo na hivyo kufanya cover up. This is masacre of innocent children who had the right to life as those killed them.
Hapa kuna mambo makuu mawili. Either Hospital ya mwananyamala kutakuwa na mchezo wa dili za kutoa mimba zilizokomaa au neonatal unit kama ina exists imefanya makosa na kusababisha vifo na hivyo kufanya cover up. This is masacre of innocent children who had the right to life as those killed them.