Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 6,859
- 21,549
See u there Man!If God wishes I’ll be there
See u there Man!If God wishes I’ll be there
Team Uaminifu ilibidi nidelete kabisa Telegram maana niliona mbele kuna hatari inakuja.Team Uaminifu bado ipoHahah!
Aisee mwamba naona sungura pori wa Telegram wamejaa hapo
Utakua umemaliza watoto wa team uaminifu wote ww
Hahaha nakuona legend mwenyeweTeam Uaminifu ilibidi nidelete kabisa Telegram maana niliona mbele kuna hatari inakuja.Team Uaminifu bado ipo
Level 8 je??Bila shaka maison club ndo club ghali nchini Tz na yenye hadhi ya five star yani nyota5. Hii night club ipo masaki mtaa wa sea cliff. Maison huwez ingia kizembe lazma ufanye booking kama guest list before hapo ndo utaruhusiwa ingia ndani.
Kwa upande wa reservation bei zao zinaanza na 220,000- 12,000,000 sio poa. Kwa wale wa kupenda pisi kali hapa kuna kila aina ya pisi mfuko wako tu.
Ukitaka ujue Tanzania watu wanatumia pesa ingia hata siku1 tu uone watu wanavotumia pesa. Sisi wengine tuendelee kuvimba kitambaa cheupe. View attachment 1992297
View attachment 1992299
View attachment 1992300
View attachment 1992301
View attachment 1992302
View attachment 1992303
View attachment 1992304
View attachment 1992305
View attachment 1992306
Nipe link pmHahaha nakuona legend mwenyewe
Kwa usalama wa afya ya uchumi wako kule hakufai
Team uaminifu bado ipo boss
Oi mzee link ya kule sinaga man!Nipe link pm
Ulimaliza sana mb na shahawa sioOi mzee link ya kule sinaga man!
Yale magroup siyataki tena aisee
Tushatoka huko kwenye personal dating wengineHahaa
Personally dating apps are better kuliko kule.
Nilimaanisha "dating apps" boss.Tushatoka huko kwenye personal dating wengine
shikamoo maisonView attachment 2041088
Maison club, kuna watu wanatumia hela nyie. Hapo unapata ist 2
Hii ni zaidi ya money laundering 🙌🙌🙌View attachment 2041088
Maison club, kuna watu wanatumia hela nyie. Hapo unapata ist 2
Hao madj wanapiga mangoma kweli kweli au ndo zile za kina Celine Dion basi? Kama ndio hizo haziamshi popo watu wakilewaYeah 2moro anawasha moto
Mdau hii ni element angalia server pale ni lea hata iyo yako sidhani kama ni maison cheki mpaka p.o box nambaView attachment 2041088
Maison club, kuna watu wanatumia hela nyie. Hapo unapata ist 2
Mdau hii ni element angalia server pale ni lea hata iyo yako sidhani kama ni maison cheki mpaka p.o box namba
Nilichovutiwa zaidi ni status...not closed
View attachment 2042875