Maisha yangu yanakufa, nifanyeje?

Pope Francis Chuma

New Member
Dec 24, 2018
2
1
Mabwana Kwema mm Ni kijana wa makamo Miaka michache iliyopita baada ya kumaliza shule na kukaa mtaani nikaona fursa moja Ni kujiajili na nilikuwa mtu mwenye Ndoto kubwa Sana ....I mean in the next 20 years or some ningekuwa Ruppet mwingine wa Bongo ....ghafla nikaaply kazi na baada ya kufanya kazi MIAKA Takriban 9 sasa Nimekutwa na Mawazo mgando Sana na nimekuwa well satfied kuna msemo unasema kwamba "Comfortable is an enemy to success " Nahisi ndio kinachonikuta sasa Na Ni kitu kuna nidisiguise sana mda huu hapo mwanzo nilikuwa nafikiri hivi "Kujiajiri Ndio Maisha " lakini sasa hiyo imegeuka na ninaona bila ajira siwezi KUISHI ....aiseeee Natamani Mimi Yule wa zamani Je WADAU mnanishauri nifanyaje? Ili niweze kuwa na mawazo kama zamani kama kuna mwanasaikolojia embu nisaidieni ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majibu yapo ndani yako na si nje yako , unachoweza kufanya kuyapata majibu hayo ni pamoja na
kujiiuliza maswali magumu na uyapatie majibu sahihi na maswali hayo ni kama haya yafutatayo...
  1. Ni kitu gani haswaa unataka kwenye maisha yako?
  2. Kina umhimu gani /thamani gani kwenye maisha yako?
  3. Ni kwa namna gani utakipata ?
  4. Ni mambo gani haswaa yanakuzuia kukipata ?
  5. Ni kwa namna gani utajua umefanikiwa kwa hayo uyatakayo?
kama unapata mkwamo zaidi wasiliana nam kwa namba 0759880010 kupitia whatsapp Michael The Great one
 
1.You need to have a plan.

2.Be desplined.

3.Find connection.

4.And then go out of your comfort zone.

5.Then ne'er give up

If you are a man be MACHO if you are women then you will be empowered by anyone after all connection e'rthing

but remember Never give up
 
Boss kuajiriwa ndio maisha,
Kujiajiri ni msote mazee, sometimes unaweza kulala kma ukishindwa kupiga hesabu vzuri.
Usidanganyike navipost vyetu kua tumelima mapapai tumeuza tumekua millionair. Tunakua wabahili mpaka totoz wakali wanatupia mbali nasio kwakupenda kwetu nisababu hatuna uhakika wakesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Find your why...
Why you want to be an antrepreneur...
Kama hauna strong reason basi we endelea kuishi in ur comfort zone.... ila hiyo ya kusema u want to be the next ruppert achana nayo
 
Boss kuajiriwa ndio maisha,
Kujiajiri ni msote mazee, sometimes unaweza kulala kma ukishindwa kupiga hesabu vzuri.
Usidanganyike navipost vyetu kua tumelima mapapai tumeuza tumekua millionair. Tunakua wabahili mpaka totoz wakali wanatupia mbali nasio kwakupenda kwetu nisababu hatuna uhakika wakesho

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja yako sio kabisa. eti totoz kali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wangu mi naona you are lacking some tips, strategies, ways, plans, goals to go through. Cha kufanya hebu swith to the some issues that will fill your mind with deep positive ideas. How to do that be a book reader!. Uwe msomaji mzuri wa vitabu hasa kuhusu personal development, personal finance, the Bible and economics after six months u will become another person.
Thank me later man!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss kuajiriwa ndio maisha,
Kujiajiri ni msote mazee, sometimes unaweza kulala kma ukishindwa kupiga hesabu vzuri.
Usidanganyike navipost vyetu kua tumelima mapapai tumeuza tumekua millionair. Tunakua wabahili mpaka totoz wakali wanatupia mbali nasio kwakupenda kwetu nisababu hatuna uhakika wakesho

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha inamana mkuu unataka jamaa aendelee kuajiriwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom