BUMIJA MOSES
Member
- Aug 27, 2020
- 75
- 85
Pamoja na hivyo, bado wengine ndio tunaingia kwa miguu miwili ktk kutafuta haki ya uwepo wa Demokrasia na Utawala wa Sheria unaozingatia haki
Rais anaepora haki za watu za kikatiba kimabavu akiombewa kufa ni jambo la kheri sana kwa sababu akifa Taifa zima litapona.Mimi nimeshauri. Ushauri unaweza kukubaliwa au kukataliwa. Kwangu mimi kumuombea mtu afe sio kitu kizuri. Kwako wewe ni kitu kidogo. Sina la kuongezea.
Amandla...
Kuna majitu majinga kabisaKumbe mlimuua?
Kumbe nyie ni wapumbavu!
Badala ya kuua mfumo mnaua mtu?
Ndugu hao watu mda mwingine ni kuwaonea huruma, hawajitambui, hawajui wanataka nini, tunashindwa tuwaweke kundi la viumbe gani, wanachowaza wao ni kukorofisha watu.Haya sio maneno ya kuzungumza hata kwa masihara. Kumtakia binadamu mwenzako kifo sio kitu chema kabisa. Ukiulizwa ulimuuaje huyo ambae unasema ulimuua utasema nini? Kutofautiana ki msimamo ni sawa lakini huku mnakoenda siko.
Amandla...