S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,615
- 32,721
Ukiona hivo jua huyu jamaa anamaanisha anachokiongea...Duuh huyu memba toka 2010 hadi leo anapost moja tu ambayo ndio hii
Kiukweli haya maisha bila pesa ni heri mtu ukufilie mbali. Haya maisha hayana maana kabisa kama huna pesa!