MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,761
- 2,027
We utakua mwalimu bila shaka
Mkuu hadi link unayo? Inaonekana upo serious na hiyo biashara.Mikuyenge China ina soko zaidi ya figo, firigisi hata maini.
1mkuyenge = $160,000
China seizes 7,221 human penises in container from Nigeria
Chinese customs officers have made the world’s biggest seizure of human organs in history this morning, a total of 7,221 penisessundiatapost.com
Sisi tusio na korodani itakuaje sasa
Mkuu ungekuwa na hali hiyo ungepata hata bando la kukuweka hewani? acha kabisa kitu kuchacha !!Sina raha masimango, nishabadili sana namba za simu mpaka kwenye mitandao wanagoma kunipa namba mpya. Nmebaki mimi tu na korodani zangu. Sina kitu kabisa.
Najiuliza wapi wananunua figo, ini au firigisi. Hivi viungo vipo viwili viwili naweza uza kimoja angaa nipate pesa nilipe madeni na pia kuendesha maisha.
Kuna haja gani unakaa navyo vyote na huoni faida yake?hata korodani zipo mbili anayetaka sababu ya kukosa watoto mimi mbegu zipo mpaka zinamwagika tu zenyewe.naweza kumpatia mtu hata nusu lita.
Juzi juzi hapa ndo nmeumia kusikia tena kila Mtanzania anadaiwa Mil 1.jamani jamani....mimi nlikopa wapi? Serikali iangalie hawa wabunge wanataka kutufunga bure. Mimi sijawahi kopa hiyo Mil 1. Mi ntailipaje?
Hapa nlipo nmejaa madeni kila kona.leo tena nakuja ambiwa nadaiwa mil 1. Kila mtanzania? Jamani why mnatufanyia hivi sisi.inatosha sasa. Inatosha. Haya madeni yamezidi sasa.
IST imejinyongaSina raha masimango, nishabadili sana namba za simu mpaka kwenye mitandao wanagoma kunipa namba mpya. Nmebaki mimi tu na korodani zangu. Sina kitu kabisa.
Najiuliza wapi wananunua figo, ini au firigisi. Hivi viungo vipo viwili viwili naweza uza kimoja angaa nipate pesa nilipe madeni na pia kuendesha maisha.
Kuna haja gani unakaa navyo vyote na huoni faida yake?hata korodani zipo mbili anayetaka sababu ya kukosa watoto mimi mbegu zipo mpaka zinamwagika tu zenyewe.naweza kumpatia mtu hata nusu lita.
Juzi juzi hapa ndo nmeumia kusikia tena kila Mtanzania anadaiwa Mil 1.jamani jamani....mimi nlikopa wapi? Serikali iangalie hawa wabunge wanataka kutufunga bure. Mimi sijawahi kopa hiyo Mil 1. Mi ntailipaje?
Hapa nlipo nmejaa madeni kila kona.leo tena nakuja ambiwa nadaiwa mil 1. Kila mtanzania? Jamani why mnatufanyia hivi sisi.inatosha sasa. Inatosha. Haya madeni yamezidi sasa.
Mwalimu ni nani?We utakua mwalimu bila shaka
Unaogelea nayo..Zamani nilikua naogopa sana madeni, ila siku hizi, khaaaa...