GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,099
Wanabodi, Leo hii kila kona ya nchi kuna vyuo vikuu bora na vya kisasa zaidi ya Harvard ,Yale pamoja na Stanford ambavyo vinatengeneza vijana wenye maarifa katika utafiti, uongozi na teknolojia
Mfano mfumo wa malipo wa GEPG (Government electronic payment gateway system) imeundwa na vijana hawa wazalendo wakiongozwa na kubwa lao kijana toka pale BOT sasa ni mkurugenzi wa mifumo wizara ya fedha na alisoma University of Dar es Salaam(UDSM).
Mfumo wa GEPG kwa kutumia control number umerahisisha malipo ya maji na umeme kwa kila mtanzania hilo halipingiki kuwa kwa sasa elimu yetu ni bora na vijana wanajiajili na wameajilika kwa maelfu
Kuanzia mwaka 2013 mpaka mwaka 2020 maelfu ya vijana wameajiriwa serikalini mfano Mamlaka ya mapato Tanzania TRA pamoja na Bank kuu ya Tanzania BoT huku wakilipwa mishahara mikubwa inayowawezesha kuendana na kasi ya awamu ya tano ya hapa kazi tu
Wafanyakazi wa serikali wameweza kumudu gharama za familia hasa upande wa vyakula na matibabu muhimu ya afya
Bima ya afya ya Taifa yaani NHIF imeboreshwa na kuwa Bima bora zaidi ukilinganisha na Bima za mashirika binafsi kama strategies,Jubilee au GA insurance hivyo watu wote hasa wa serikalini wanakula bata kwa gharama hizi nafuu
Chama changu Cha Mapinduzi kinatakiwa kufanya yafuatayo baada ya kushinda Octoba 28 mwaka huu 2020 ili wahitimu na wafanyakazi wazidi kuwa na furaha zaidi na nchi yao.
Mosi,Kuondoa Chuki iliyopandwa na viongozi wetu kati ya vyama vya siasa yaani wana ccm na wana chadema,Hii chuki imekuwa kubwa na imepoteza furaha kwa watu,Ukifuatilia ni kama watu wanasubiri mtu wa kusema na nyinyi upande wa pili jibuni mapigo,Akitokea mtu akasema jibuni mapigo vita hii haitazimwa kirahisi watu wana uchungu na hasira sana mioyoni mwao wanafikiria ccm inabebwa awamu hii ya tano.
Pili,Hoja zijibiwe kwa hoja na pale unapozidiwa hoja unachutama na kurekebisha makosa mfano suala la uhuru wa habari na vyombo vyake limekuwa linaongelewa kila kona ya nchi,Hii sekta sasa inaanza kujenga chuki kati ya waandishi na Raia.
All in all mapambano yanaendelea tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa technically tutawapiga mchana kweupe huku mkifikiri ni usiku.
Mfano mfumo wa malipo wa GEPG (Government electronic payment gateway system) imeundwa na vijana hawa wazalendo wakiongozwa na kubwa lao kijana toka pale BOT sasa ni mkurugenzi wa mifumo wizara ya fedha na alisoma University of Dar es Salaam(UDSM).
Mfumo wa GEPG kwa kutumia control number umerahisisha malipo ya maji na umeme kwa kila mtanzania hilo halipingiki kuwa kwa sasa elimu yetu ni bora na vijana wanajiajili na wameajilika kwa maelfu
Kuanzia mwaka 2013 mpaka mwaka 2020 maelfu ya vijana wameajiriwa serikalini mfano Mamlaka ya mapato Tanzania TRA pamoja na Bank kuu ya Tanzania BoT huku wakilipwa mishahara mikubwa inayowawezesha kuendana na kasi ya awamu ya tano ya hapa kazi tu
Wafanyakazi wa serikali wameweza kumudu gharama za familia hasa upande wa vyakula na matibabu muhimu ya afya
Bima ya afya ya Taifa yaani NHIF imeboreshwa na kuwa Bima bora zaidi ukilinganisha na Bima za mashirika binafsi kama strategies,Jubilee au GA insurance hivyo watu wote hasa wa serikalini wanakula bata kwa gharama hizi nafuu
Chama changu Cha Mapinduzi kinatakiwa kufanya yafuatayo baada ya kushinda Octoba 28 mwaka huu 2020 ili wahitimu na wafanyakazi wazidi kuwa na furaha zaidi na nchi yao.
Mosi,Kuondoa Chuki iliyopandwa na viongozi wetu kati ya vyama vya siasa yaani wana ccm na wana chadema,Hii chuki imekuwa kubwa na imepoteza furaha kwa watu,Ukifuatilia ni kama watu wanasubiri mtu wa kusema na nyinyi upande wa pili jibuni mapigo,Akitokea mtu akasema jibuni mapigo vita hii haitazimwa kirahisi watu wana uchungu na hasira sana mioyoni mwao wanafikiria ccm inabebwa awamu hii ya tano.
Pili,Hoja zijibiwe kwa hoja na pale unapozidiwa hoja unachutama na kurekebisha makosa mfano suala la uhuru wa habari na vyombo vyake limekuwa linaongelewa kila kona ya nchi,Hii sekta sasa inaanza kujenga chuki kati ya waandishi na Raia.
All in all mapambano yanaendelea tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa technically tutawapiga mchana kweupe huku mkifikiri ni usiku.