Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chase Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo

Pole sana kijana mwenzangu,kaa chini fikiria cha kufanya baada ya kuuza iyo gari,ukiuza gari angalia cha kununua kulingana na hela utakayopata kama ni pikipiki sawa na kama kwa bajaj sawa
 
Uza gari fungua biashara ya mgahawa na uisimamie mwenyewe, watu ni lazima kila siku wale chakula hivyo ni jambo la muhimu.

Kufungua pub ni jambo la ziada tu, siyo lazima kila siku watu kunywa pombe.

Ukizingatia huu ushauri wangu utakuja kunishukuru siku zijazo.
Watu sik hzi wanakula mlo moja au mili tena miogo na pilipili na samaki wa 100 au kahawa na ndizi
 
Tatizo mnang'ang'ania mjini wakati huku shambani vyakula tele, njoo huku ipalamwa nikupe shamaba la buree ulime upate mahitaji yako,
 
Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chaser Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo.

Sasa ni karibia mwezi wa saba huu tangia nianze biashara hii ya kuendesha Taxi bubu. Nilianza mwezi wa tano (May) mwaka huu wa 2020. Biashara imekuwa ngumu sana kwa maana siku hizi kuna Bajaj.

Mtu anaona bora akodishe Bajaj kwa bei nafuu ndio ampeleke mgonjwa hospital au kwenda mjini. Sisi Taxi Drivers tupo hoi biashara imeshuka. Kabla ya Bajaj kuja huko mambo yalikuwa shwari sana mwaka jana 2019, ila sasa hivi ni balaa tupu.

CHASER AVANTE NUMBER "A"

View attachment 1652148

Kabla ya kuja Bajaj kulikuwa na hawa bodaboda ambao wao hawakuwa kikwazo kwetu kwa maana mtu hawezi kukodi bodaboda akabeba maharusi au akampeleka mama mjamzito kujifungua hospitali ya mbali.

Niliwahi kuwaza niendeshe gari hii kama Uber ila kutokana na ukubwa wake wa engine nisingeweza kupata faida yoyote. Ninaombeni msaada wenu wa mawazo.
Leo mbona hujatukumbusha tuwe wazalendo?
 
Kwa kutumia GX100 kama Taxi lazima maisha yawe magumu. Hujiulizi kwanini wenzio wanatumia IST, Raum, Vitz?
Hao wenye IST, Raum na Vitz maisha pia magumu kwao kwa maana mchawi ni Bajaj na sio ukubwa wa engine ya gari.
 
Hao wenye IST, Raum na Vitz maisha pia magumu kwao kwa maana mchawi ni Bajaj na sio ukubwa wa engine ya gari.
Kwasababu unaamini Bajaj ndio mchawi wako subiri ziishe au na wewe nunua Bajaj.
Siku moja nilipanda Taxi na jirani kulikuwa na Bajaj na bodaboda. Nikamuuliza Yule dereva wa taxi biashara vipi naona hapa mna ushindani na Bajaj na bodaboda.
Akaniambia kuna abiria wa Bajaj,wa bodaboda na wa taxi. Akaniuliza mbona wewe umeacha bajaj na bodaboda umekuja kuchukua taxi?
Kila mtu na abiria wake, jipange mdogo wangu shida inaweza kuwa wewe tukianza na gari unayotumia kufanya taxi.
 
Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chaser Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo.

Sasa ni karibia mwezi wa saba huu tangia nianze biashara hii ya kuendesha Taxi bubu. Nilianza mwezi wa tano (May) mwaka huu wa 2020. Biashara imekuwa ngumu sana kwa maana siku hizi kuna Bajaj.

Mtu anaona bora akodishe Bajaj kwa bei nafuu ndio ampeleke mgonjwa hospital au kwenda mjini. Sisi Taxi Drivers tupo hoi biashara imeshuka. Kabla ya Bajaj kuja huko mambo yalikuwa shwari sana mwaka jana 2019, ila sasa hivi ni balaa tupu.

CHASER AVANTE NUMBER "A"

View attachment 1652148

Kabla ya kuja Bajaj kulikuwa na hawa bodaboda ambao wao hawakuwa kikwazo kwetu kwa maana mtu hawezi kukodi bodaboda akabeba maharusi au akampeleka mama mjamzito kujifungua hospitali ya mbali.

Niliwahi kuwaza niendeshe gari hii kama Uber ila kutokana na ukubwa wake wa engine nisingeweza kupata faida yoyote. Ninaombeni msaada wenu wa mawazo.
Biashara ni uvumilivu kadri mda unavyoenda utapata wateja.
 
Uza gari fungua biashara ya mgahawa na uisimamie mwenyewe, watu ni lazima kila siku wale chakula hivyo ni jambo la muhimu.

Kufungua pub ni jambo la ziada tu, siyo lazima kila siku watu kunywa pombe.

Ukizingatia huu ushauri wangu utakuja kunishukuru siku zijazo.
Umenena sahihi kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom