Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,002
- 173,641
Bado ila leo naenda chukua Kasmani JewelleryUmeshanunua zile cheni na Pete 😢😢
Bado ila leo naenda chukua Kasmani JewelleryUmeshanunua zile cheni na Pete 😢😢
Nipatie kadi ya mwaliko kijanaBado ila leo naenda chukua Kasmani Jewellery
Mi nanunua kwa ajili ya utanashati jamani sio kuoa. We nimekwambia njoo tuyajenge unaruka ruka kama mahindi ya popcorn.Nipatie kadi ya mwaliko kijana
Extrovert chapa huyu binti mbona unamkawiza?Nipatie kadi ya mwaliko kijana
Watu sik hzi wanakula mlo moja au mili tena miogo na pilipili na samaki wa 100 au kahawa na ndiziUza gari fungua biashara ya mgahawa na uisimamie mwenyewe, watu ni lazima kila siku wale chakula hivyo ni jambo la muhimu.
Kufungua pub ni jambo la ziada tu, siyo lazima kila siku watu kunywa pombe.
Ukizingatia huu ushauri wangu utakuja kunishukuru siku zijazo.
Upo sahihi mkuu. Bajaj mpya ni bei mbaya sana kwa sasaBajaji haipingui milioni saba unavyokaona hako kagari namba A anaweza kuuza bei gani?
Leo mbona hujatukumbusha tuwe wazalendo?Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chaser Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo.
Sasa ni karibia mwezi wa saba huu tangia nianze biashara hii ya kuendesha Taxi bubu. Nilianza mwezi wa tano (May) mwaka huu wa 2020. Biashara imekuwa ngumu sana kwa maana siku hizi kuna Bajaj.
Mtu anaona bora akodishe Bajaj kwa bei nafuu ndio ampeleke mgonjwa hospital au kwenda mjini. Sisi Taxi Drivers tupo hoi biashara imeshuka. Kabla ya Bajaj kuja huko mambo yalikuwa shwari sana mwaka jana 2019, ila sasa hivi ni balaa tupu.
CHASER AVANTE NUMBER "A"
View attachment 1652148
Kabla ya kuja Bajaj kulikuwa na hawa bodaboda ambao wao hawakuwa kikwazo kwetu kwa maana mtu hawezi kukodi bodaboda akabeba maharusi au akampeleka mama mjamzito kujifungua hospitali ya mbali.
Niliwahi kuwaza niendeshe gari hii kama Uber ila kutokana na ukubwa wake wa engine nisingeweza kupata faida yoyote. Ninaombeni msaada wenu wa mawazo.
Nikikumbuka kipindi zinaingia ilikuwa milioni 3,vitu vinapanda sanaUpo sahihi mkuu. Bajaj mpya ni bei mbaya sana kwa sasa
Hao wenye IST, Raum na Vitz maisha pia magumu kwao kwa maana mchawi ni Bajaj na sio ukubwa wa engine ya gari.Kwa kutumia GX100 kama Taxi lazima maisha yawe magumu. Hujiulizi kwanini wenzio wanatumia IST, Raum, Vitz?
MhhhDada usihamishe magoli. Vipi hiyo naniii bado inakulipa au?
Ushauri mzuri sana huu mkuu...Japokua hela utakayouza hiyo gari haitatosha kununua bajaji mpya ila jichangechange uuze hiyo gari uongezee ununue bajaji mpya.
Sawa mkuuEndelea kuwa mzalendo, faili lako Ni Lile la juu kabisa kwenye meza ya mzee baba.
Ushauri mzuri sana...Uza gari fungua biashara ya mgahawa na uisimamie mwenyewe, watu ni lazima kila siku wale chakula hivyo ni jambo la muhimu.
Kwasababu unaamini Bajaj ndio mchawi wako subiri ziishe au na wewe nunua Bajaj.Hao wenye IST, Raum na Vitz maisha pia magumu kwao kwa maana mchawi ni Bajaj na sio ukubwa wa engine ya gari.
Extrovert chapa huyu binti mbona unamkawiza?
Biashara ni uvumilivu kadri mda unavyoenda utapata wateja.Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chaser Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo.
Sasa ni karibia mwezi wa saba huu tangia nianze biashara hii ya kuendesha Taxi bubu. Nilianza mwezi wa tano (May) mwaka huu wa 2020. Biashara imekuwa ngumu sana kwa maana siku hizi kuna Bajaj.
Mtu anaona bora akodishe Bajaj kwa bei nafuu ndio ampeleke mgonjwa hospital au kwenda mjini. Sisi Taxi Drivers tupo hoi biashara imeshuka. Kabla ya Bajaj kuja huko mambo yalikuwa shwari sana mwaka jana 2019, ila sasa hivi ni balaa tupu.
CHASER AVANTE NUMBER "A"
View attachment 1652148
Kabla ya kuja Bajaj kulikuwa na hawa bodaboda ambao wao hawakuwa kikwazo kwetu kwa maana mtu hawezi kukodi bodaboda akabeba maharusi au akampeleka mama mjamzito kujifungua hospitali ya mbali.
Niliwahi kuwaza niendeshe gari hii kama Uber ila kutokana na ukubwa wake wa engine nisingeweza kupata faida yoyote. Ninaombeni msaada wenu wa mawazo.
Acha kuwaza matusiExtrovert chapa huyu binti mbona unamkawiza?
Umenena sahihi kabisa mkuuUza gari fungua biashara ya mgahawa na uisimamie mwenyewe, watu ni lazima kila siku wale chakula hivyo ni jambo la muhimu.
Kufungua pub ni jambo la ziada tu, siyo lazima kila siku watu kunywa pombe.
Ukizingatia huu ushauri wangu utakuja kunishukuru siku zijazo.