Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,317
- 10,938
Mkuu kwa biashara uliyo itaja (mgahawa) nikiwa na Milioni 2 kama mtaji, naweza ifanya?Achana na biashara ya Pub utakuja kuokota makopo kwa uchizi ,fungua mgahawa wa chakula,vinywaji(maji+soda) ,walevi nao hawana hela siku hizi.