naka123
Senior Member
- Mar 27, 2018
- 134
- 103
hahahaaa...aisee mwenyezi mungu aingilie katituuu maana sio kwa adhabu hiziWatu hawana hela hizo nyanya utamuuzia nani? Hela haipo kwenye mzunguko mimi nafanya biashara ya samaki sokoni pagumu raia hawana kitu utamuizia nani? kama watu wa pharmacy wanalalamika hakuna wateja that's means watanzania wanaugua lkn wanajikaza tu
Sent using Jamii Forums mobile app