Maisha ya watu walalahoi hasa vijijini yamekuwa bora zaidi

Kigodoro

JF-Expert Member
Apr 25, 2014
1,660
1,676
Uchunguzi uliofanywa na kamera ya KigodoroTV, imebaini kuwa watu wa vijijini maisha yao yamekuwa bora zaidi ndani ya mwaka 1 wa jpm. Mwandishi wetu amepita sehemu mbalimbali za nchi hii na kubaini kuwa kelele za maisha magumu zinapigwa na watumishi wa umma tu pamoja na wafanyabiashara wa kati na wakubwa waliozoea kupiga dili.
ambapo idadi yao kwa pamoja ni takribani mil 1.

hii ndiyo kusema watanz waliobakia 49mil wanafurahia maisha.

mfano mamantilie, bodaboda na machinga sasa ruksa kufanya biashara katikati ya mji. maana yake ni kwamba sasa makundi ya watu hawa yanapiga hela.

kwa vijijini wananufaika na rushwa na ubabaishaji ktk ofisi za umma kuondoshwa, elimu bure na kuimarika kwa baadhi ya mazao ya biashara kama vile korosho na pamba.

bei ya korosho imeleta kwa wananchi wa mikoa ya pwani, lindi na mtwara wakati ile ya pamba imeleta neema kwa mikoa ya mwanza shinyanga, simiyu na geita.

hoja hapa ni kwamba kwa ujumla hali huko vijini ni nzuri mno. na hapa mjini kundi kubwa la watu wanapata riziki zao.
 
Uchunguzi uliofanywa na kamera ya KigodoroTV, imebaini kuwa watu wa vijijini maisha yao yamekuwa bora zaidi ndani ya mwaka 1 wa jpm. Mwandishi wetu amepita sehemu mbalimbali za nchi hii na kubaini kuwa kelele za maisha magumu zinapigwa na watumishi wa umma tu pamoja na wafanyabiashara wa kati na wakubwa waliozoea kupiga dili.
ambapo idadi yao kwa pamoja ni takribani mil 1.

hii ndiyo kusema watanz waliobakia 49mil wanafurahia maisha.

mfano mamantilie, bodaboda na machinga sasa ruksa kufanya biashara katikati ya mji. maana yake ni kwamba sasa makundi ya watu hawa yanapiga hela.

kwa vijijini wananufaika na rushwa na ubabaishaji ktk ofisi za umma kuondoshwa, elimu bure na kuimarika kwa baadhi ya mazao ya biashara kama vile korosho na pamba.

bei ya korosho imeleta kwa wananchi wa mikoa ya pwani, lindi na mtwara wakati ile ya pamba imeleta neema kwa mikoa ya mwanza shinyanga, simiyu na geita.

hoja hapa ni kwamba kwa ujumla hali huko vijini ni nzuri mno. na hapa mjini kundi kubwa la watu wanapata riziki zao.

Utafiti umefanywa na chombo kinaitwa KigodoroTV!! Huwezi kushangaa.
 
huna tofauti na yule waziri aliyesema hali ya hewa kwa tanzania ni shwari na kati mamlaka ya hali ya hewa tanzania TMA inasema kutakuwa na ukame nchi nzima. we huoni kuwa kuna tatizo
 
mpaka sasa hakuna za mbegu za ruzuku wala mbolea za ruzuku kwa wakulima ni kweli yamekuwa bora
 
Uchunguzi uliofanywa na kamera ya KigodoroTV, imebaini kuwa watu wa vijijini maisha yao yamekuwa bora zaidi ndani ya mwaka 1 wa jpm. Mwandishi wetu amepita sehemu mbalimbali za nchi hii na kubaini kuwa kelele za maisha magumu zinapigwa na watumishi wa umma tu pamoja na wafanyabiashara wa kati na wakubwa waliozoea kupiga dili.
ambapo idadi yao kwa pamoja ni takribani mil 1.

hii ndiyo kusema watanz waliobakia 49mil wanafurahia maisha.

mfano mamantilie, bodaboda na machinga sasa ruksa kufanya biashara katikati ya mji. maana yake ni kwamba sasa makundi ya watu hawa yanapiga hela.

kwa vijijini wananufaika na rushwa na ubabaishaji ktk ofisi za umma kuondoshwa, elimu bure na kuimarika kwa baadhi ya mazao ya biashara kama vile korosho na pamba.

bei ya korosho imeleta kwa wananchi wa mikoa ya pwani, lindi na mtwara wakati ile ya pamba imeleta neema kwa mikoa ya mwanza shinyanga, simiyu na geita.

hoja hapa ni kwamba kwa ujumla hali huko vijini ni nzuri mno. na hapa mjini kundi kubwa la watu wanapata riziki zao.
unaongelea vijiji vya tz au nchi nyingine mkuu?
 
Uchunguzi uliofanywa na kamera ya KigodoroTV, imebaini kuwa watu wa vijijini maisha yao yamekuwa bora zaidi ndani ya mwaka 1 wa jpm. Mwandishi wetu amepita sehemu mbalimbali za nchi hii na kubaini kuwa kelele za maisha magumu zinapigwa na watumishi wa umma tu pamoja na wafanyabiashara wa kati na wakubwa waliozoea kupiga dili.
ambapo idadi yao kwa pamoja ni takribani mil 1.

hii ndiyo kusema watanz waliobakia 49mil wanafurahia maisha.

mfano mamantilie, bodaboda na machinga sasa ruksa kufanya biashara katikati ya mji. maana yake ni kwamba sasa makundi ya watu hawa yanapiga hela.

kwa vijijini wananufaika na rushwa na ubabaishaji ktk ofisi za umma kuondoshwa, elimu bure na kuimarika kwa baadhi ya mazao ya biashara kama vile korosho na pamba.

bei ya korosho imeleta kwa wananchi wa mikoa ya pwani, lindi na mtwara wakati ile ya pamba imeleta neema kwa mikoa ya mwanza shinyanga, simiyu na geita.

hoja hapa ni kwamba kwa ujumla hali huko vijini ni nzuri mno. na hapa mjini kundi kubwa la watu wanapata riziki zao.
Utakuwa ni utafiti wa kijiji cha chato pekee lakini vijijini vinginevyo vyote ni njaa kwa kwenda mbele.
 
Ndio wakati kama ule wa JK NYERERE wa kwenda vijijini. ..Gezaulole. .Kigugumo sasa hivi ni mjini. ..fursa!
 
Huyu jamaa amerusha dongo kifasihi zaidi na naona wengi hawajamsoma vizuri. Watu milioni 49 huko vijijini wanaisoma ile yenyewe ile. Nafuu hata wafanyakazi maana wao " wana mahali pa kushika"
 
Kama hoja ni mama ntilie kuruhusiwa hata mijini mama ntilie wapo mbona na wenyewe wanalalamika?

Vijiji unavyovisema ndiyo vile ukiumwa na nyoka chanjo ni laki mbili na nusu mpaka laki saba na nusu? Au una vijiji vyako kwenye hicho Kigodoro Tv
Naona hicho kigodoro ni mojawapo ya makampuni ya uhuru media
 
Naona hicho kigodoro ni mojawapo ya makampuni ya uhuru media
Unaweza ukakuta ndiyo hivyo, halafu utakuta siku kiongozi akasimama na kusema "Maisha yapo vizuri, uchumi umepanda mbona hata Kigodoro Tv wamesema?"
 
Uchunguzi uliofanywa na kamera ya KigodoroTV, imebaini kuwa watu wa vijijini maisha yao yamekuwa bora zaidi ndani ya mwaka 1 wa jpm. Mwandishi wetu amepita sehemu mbalimbali za nchi hii na kubaini kuwa kelele za maisha magumu zinapigwa na watumishi wa umma tu pamoja na wafanyabiashara wa kati na wakubwa waliozoea kupiga dili.
ambapo idadi yao kwa pamoja ni takribani mil 1.

hii ndiyo kusema watanz waliobakia 49mil wanafurahia maisha.

mfano mamantilie, bodaboda na machinga sasa ruksa kufanya biashara katikati ya mji. maana yake ni kwamba sasa makundi ya watu hawa yanapiga hela.

kwa vijijini wananufaika na rushwa na ubabaishaji ktk ofisi za umma kuondoshwa, elimu bure na kuimarika kwa baadhi ya mazao ya biashara kama vile korosho na pamba.

bei ya korosho imeleta kwa wananchi wa mikoa ya pwani, lindi na mtwara wakati ile ya pamba imeleta neema kwa mikoa ya mwanza shinyanga, simiyu na geita.

hoja hapa ni kwamba kwa ujumla hali huko vijini ni nzuri mno. na hapa mjini kundi kubwa la watu wanapata riziki zao.
Hizi tafiti zenu mnazo fanya na watoto wa darasa la kwanza ndio maana mnakuja na majibu ya uongo
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom