MAISHA YA WATANZANIA NI MAGUMU SANA

Aug 17, 2016
69
45
Hila kiukweli leo nimegundua kuwa watanzania kwa sasa wamevurugwa, nilikuwa morogoro mjini leo nikizunguka kuna v2 nilikuwa natafuta. Yaani wa2 maisha ni magumu.

Kwa mfano nilifika sehemu nikataka kununua muhindi, nikaulizia bei akasema mia tano, nikamuuliza una chenchi ya elfu kumi, huwezi hamini yule mzee alivyoniangalia kwa kukata taaamaa! Nilijifuza ki2 nikahamua kuondoka. Yaaan maisha ya watanzania wa kawaida ni magumu saaana. BILA KUANGALIA CHAMA TUPIGE KELELE IKIWEZEKANA TUPAZE SAUTI KWA NAMNA YOYOTE SERIKALI ICHUKUE HATUA WATU WANA UMIA. SAAANA.
 
Hila kiukweli leo nimegundua kuwa watanzania kwa sasa wamevurugwa, nilikuwa morogoro mjini leo nikizunguka kuna v2 nilikuwa natafuta. Yaani wa2 maisha ni magumu.

Kwa mfano nilifika sehemu nikataka kununua muhindi, nikaulizia bei akasema mia tano, nikamuuliza una chenchi ya elfu kumi, huwezi hamini yule mzee alivyoniangalia kwa kukata taaamaa! Nilijifuza ki2 nikahamua kuondoka. Yaaan maisha ya watanzania wa kawaida ni magumu saaana. BILA KUANGALIA CHAMA TUPIGE KELELE IKIWEZEKANA TUPAZE SAUTI KWA NAMNA YOYOTE SERIKALI ICHUKUE HATUA WATU WANA UMIA. SAAANA.
Serekali ichukue hatua ipi?kugawa pesa au?jamani tunaposema maisha magumu nakubali,lakini kuna kitu ni kama watu tunakalilishwa na kimevuma nchi nzima kua pesa na maisha kwa ujumla yamekua magumu,ninachojua mimi kiukweli hapajawahi tokea maisha yakawa rahisi jamani,hasa huku kwetu Africa,mtu hajafanya kazi kwa bidii bila woga na kwa maarifa huwezi ona urahisi wa maisha hata kama ni YESU au MUHAMAD atashuka awe kiongozi hawezi gawa pesa za ziada kwa kila mtu bhana.kulalamika imekua ndo sehemu kubwa ya wananchi,wote tunaishi hapa nchini kwetu na tupo town kitambo tukitafuta pesa za halali kwa bidii,lini paliwahi tokea maisha yakawa rahisi?mi hata sielewi watu wanawaza nini
 
Serekali ichukue hatua ipi?kugawa pesa au?jamani tunaposema maisha magumu nakubali,lakini kuna kitu ni kama watu tunakalilishwa na kimevuma nchi nzima kua pesa na maisha kwa ujumla yamekua magumu,ninachojua mimi kiukweli hapajawahi tokea maisha yakawa rahisi jamani,hasa huku kwetu Africa,mtu hajafanya kazi kwa bidii bila woga na kwa maarifa huwezi ona urahisi wa maisha hata kama ni YESU au MUHAMAD atashuka awe kiongozi hawezi gawa pesa za ziada kwa kila mtu bhana.kulalamika imekua ndo sehemu kubwa ya wananchi,wote tunaishi hapa nchini kwetu na tupo town kitambo tukitafuta pesa za halali kwa bidii,lini paliwahi tokea maisha yakawa rahisi?mi hata sielewi watu wanawaza nini
hakuna anaye taka kupewa pesa bure kaka hebu achani ushabiki wa kijinga ambao hauna tija kwa kwako wala kwa chama chako wala taifa kwa ujumla hakuna mwananchi anaye taka kupewa pesa bure bali tunataa mzungu wa pesa urudi kama mwanzo na ajira kwa vijana ziwepo tunataka ahadi ambazo serikal imetoa wakat wa uchangu wazitekeleze walisema maisha bora kwa kila mtanzani tunataka tuyaone sio munaongea tu kwa sababu unauhakika wa kula yako jaribun kutembea muone hali ya watanzania ilivyo kuwa mbaya na duni
 
hakuna anaye taka kupewa pesa bure kaka hebu achani ushabiki wa kijinga ambao hauna tija kwa kwako wala kwa chama chako wala taifa kwa ujumla hakuna mwananchi anaye taka kupewa pesa bure bali tunataa mzungu wa pesa urudi kama mwanzo na ajira kwa vijana ziwepo tunataka ahadi ambazo serikal imetoa wakat wa uchangu wazitekeleze walisema maisha bora kwa kila mtanzani tunataka tuyaone sio munaongea tu kwa sababu unauhakika wa kula yako jaribun kutembea muone hali ya watanzania ilivyo kuwa mbaya na duni
Sina chama mimi ndugu,na tatizo lenu ni mtu anaesema kweli mnasema huyu ni ccm,chama hakijanizaa,wengine hatuna chama,acheni kulalamika bila tija ovyo ovyo bwana,maisha ni magumu toka kaumbwa Adamu
 
Sina chama mimi ndugu,na tatizo lenu ni mtu anaesema kweli mnasema huyu ni ccm,chama hakijanizaa,wengine hatuna chama,acheni kulalamika bila tija ovyo ovyo bwana,maisha ni magumu toka kaumbwa Adamu
haa heti unaongea ukweli kaka hebu jaribu kutembea uangali wananchi wa hali ya chin kabisa ambao wanafanya kazi kwa hali na mali lakin kipato chao hakikidhi mahitaji yao au unamawili huenda.bado unakula nyumbani au hauna familia ipo siku utayasadili maneno yangu
 
haa heti unaongea ukweli kaka hebu jaribu kutembea uangali wananchi wa hali ya chin kabisa ambao wanafanya kazi kwa hali na mali lakin kipato chao hakikidhi mahitaji yao au unamawili huenda.bado unakula nyumbani au hauna familia ipo siku utayasadili maneno yangu
Nina familia na ninafanya kazi na kukidhi mahitaji ya familia yangu,swala la watu wengine nimefanya kazi kwenye mashirika tena ya kuvihimiza vikundi kufanya kazi kwa bidii na umoja,tumeona wenye bidii wanavyofanikiwa na wavivu wanavyochapika na kubaki kulaumu serekali,acha kumbwela kwa kukalili rafiki,maisha hayajawah kuwa rahisi,tumefika mpaka ulaya unakoamini kunawezekana lakini nenda na uchunguze uone bidii ya kazi wanayofanya ndivyo wanavyofanikiwa,na wavivu wapo pia na hawana kitu mifukoni.fanya kazi acha kulalamika,serekali nyingi Africa hazijakidhi kuwapa raia wote ajira,bado na serekali changa sana na raia wake wanazaliana,nani aajiliwe nani aachwe?sumbua kichwa chako kubuni vitu utengeneze ajira yako na raia wenzio.
 
Jamu zinaongezeka tiketi za VIP zinaisha bar zinafulika watu ww unasema hali mbaya TZ hakujawahi kuwa na maisha mepesi hata siku moja huu ndio ukweli
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom