collezione
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 352
- 178
Naandika hii topic kutoka na experience ya kupoteza ndugu zangu mwezi uliiopita.... Hata kabla sijasahau, jana nimepoteza ndugu mwingine kwenye ajali ya basi.
Ndugu zangu Maisha ya waTanzania kwasasa si salama tena... Na wengi watafanyia mzaha swala hili mpaka yatapowakuta kama mimi.
Mimi naamini asilimia kubwa ni uzembe wa vyombo vyetu vya usalama.. Nchi yenye usimamizi mzuri ajali hazitokei mara kwa mara kama hivi.
Mimi naona niweke mambo yafuatayo kama vyavzo vya ajali barabarani.
1) Tanzania hakuna sheria au adhabu imposed kwa hawa wamiliki wa mabasi. Pindi ajali zinapotokea... And this is a huge advantage to them. Kwao ni sawa kuruhusu basi lisafirishe abiria, hata kama anajua basi lake ni bovu.. Na kwasababu hakuna chombo cha usalama kinachofuatilie ubora wa haya mabasi.. That is too big advantage to them.
Mimi nakumbuka kuna siku nilisafiri kutoka Dar kwenda Arusha. Katikati ya safari tairi la nyuma likapasuka. Na kutokana na maelezo ya Dereva inaelekea alikua anajua ubovu wa tairi lake la nyuma... But who cares tungepata ajali na watu kupoteza maisha?? This is very sad.
Ndo maana mimi nasema ajali zingine ni makusudi. Naomba Tanzania na sisi tuwe na sheria ya kulipa fidia kubwa pindi ajali inapotokea. Mmiliki anapaswa kutoa fidia kwa kila abiria aliye-athirika na hiyo ajali. Hii itapunguza huu uzembe.
Hakuna asiyejua, kuna baadhi mabasi huwa yanatoa kafara, kutokana ushirikina... Lakini pindi inapotokea ajali, na kutokana na uelewa mdogo wa wananchi... Msemo mkubwa huwa "yote tumwachie Mungu..." Tusimweke Mungu kwenye huu upuuzi.
2) La pili " ubovu wa barabara zetu". High way zetu ni nyembamba sana. Hazikidhi usafishaji wa abiria. (Kwa wale walioishi nje wananielewa nikisema hivyo).
I am sure serikali inaweza kupanua hizi barabara zetu. Especial zile sehemu korofi "accident zone". Ila kwa sababu, kipaumbele chetu ni "siasa" na "kilimo kwanza" . Hakuna anayejali.
Swali, je tuendelee kuvumilia kuona hizi ajali za kila siku??? Maana hili ni janga la taifa sasa.
Natoa wito kwa waTanzania wenzangu. Tuanze kupigia kelele swala hili. Tuwawajibishe hao tuliowapa mamlaka kusimamia maisha yetu..
Nchi yetu haina usalama kwenye nyanja zote... Ukija madukani kuna wajanja wanauza bidhaa feki. Mahospitali, siku hizi kuna madawa feki...
Mtaani ujambazi ndo umeshamiri... Barabarani ajali kila siku.
Sasa tukimbilie wapi? Nchi yetu haina usalama hata kidogo...
Ndugu zangu Maisha ya waTanzania kwasasa si salama tena... Na wengi watafanyia mzaha swala hili mpaka yatapowakuta kama mimi.
Mimi naamini asilimia kubwa ni uzembe wa vyombo vyetu vya usalama.. Nchi yenye usimamizi mzuri ajali hazitokei mara kwa mara kama hivi.
Mimi naona niweke mambo yafuatayo kama vyavzo vya ajali barabarani.
1) Tanzania hakuna sheria au adhabu imposed kwa hawa wamiliki wa mabasi. Pindi ajali zinapotokea... And this is a huge advantage to them. Kwao ni sawa kuruhusu basi lisafirishe abiria, hata kama anajua basi lake ni bovu.. Na kwasababu hakuna chombo cha usalama kinachofuatilie ubora wa haya mabasi.. That is too big advantage to them.
Mimi nakumbuka kuna siku nilisafiri kutoka Dar kwenda Arusha. Katikati ya safari tairi la nyuma likapasuka. Na kutokana na maelezo ya Dereva inaelekea alikua anajua ubovu wa tairi lake la nyuma... But who cares tungepata ajali na watu kupoteza maisha?? This is very sad.
Ndo maana mimi nasema ajali zingine ni makusudi. Naomba Tanzania na sisi tuwe na sheria ya kulipa fidia kubwa pindi ajali inapotokea. Mmiliki anapaswa kutoa fidia kwa kila abiria aliye-athirika na hiyo ajali. Hii itapunguza huu uzembe.
Hakuna asiyejua, kuna baadhi mabasi huwa yanatoa kafara, kutokana ushirikina... Lakini pindi inapotokea ajali, na kutokana na uelewa mdogo wa wananchi... Msemo mkubwa huwa "yote tumwachie Mungu..." Tusimweke Mungu kwenye huu upuuzi.
2) La pili " ubovu wa barabara zetu". High way zetu ni nyembamba sana. Hazikidhi usafishaji wa abiria. (Kwa wale walioishi nje wananielewa nikisema hivyo).
I am sure serikali inaweza kupanua hizi barabara zetu. Especial zile sehemu korofi "accident zone". Ila kwa sababu, kipaumbele chetu ni "siasa" na "kilimo kwanza" . Hakuna anayejali.
Swali, je tuendelee kuvumilia kuona hizi ajali za kila siku??? Maana hili ni janga la taifa sasa.
Natoa wito kwa waTanzania wenzangu. Tuanze kupigia kelele swala hili. Tuwawajibishe hao tuliowapa mamlaka kusimamia maisha yetu..
Nchi yetu haina usalama kwenye nyanja zote... Ukija madukani kuna wajanja wanauza bidhaa feki. Mahospitali, siku hizi kuna madawa feki...
Mtaani ujambazi ndo umeshamiri... Barabarani ajali kila siku.
Sasa tukimbilie wapi? Nchi yetu haina usalama hata kidogo...