QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Inasikitisha kuona kuna baadhi ya wabunge wameingia bungeni kwa njia ya Uchakachuaji wa kura. Sasa unaona kama Karagwe, polisi wanamsindikiza mpaka nyumbani kwa mtutu. lakini ni kwa hakika hawataweza kumlinda kila siku kila saa. watafanya hivyo kwa muda mfupi kisha wataacha. Angalia jimbo la egerea, inasemekana hata Mahanga halali nyumbani kwake tena. Maana anaona aibu hata kukutana na wenyeji na majirani zake pale Segerea.
Lakini tukumbuke kuwa anaishi katika jamii iliyomkataa, akalazimisha kwa msaada wa NEC na CCM. sasa wananchi wakiamua kumwadhibu vikali kama yule jamaa wa North Mara (aliyechinjwa) watasaidiwa na nani?
Tafakari
Lakini tukumbuke kuwa anaishi katika jamii iliyomkataa, akalazimisha kwa msaada wa NEC na CCM. sasa wananchi wakiamua kumwadhibu vikali kama yule jamaa wa North Mara (aliyechinjwa) watasaidiwa na nani?
Tafakari