Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,604
- 6,609
Buku mbili mbona nyingi hiyoMaisha simple mnooo yaani ukiwa na buku 2 enzi zile unakula kusaza
Ukiwa na buku jex unashiba kitumbo ndiii
Buku mbili mbona nyingi hiyoMaisha simple mnooo yaani ukiwa na buku 2 enzi zile unakula kusaza
Nmekupata.Kwa Experience yangu sehemu nyingi zinakua zimegawanyika sehemu mbili,ushuani na uswahilini
Mfano mikocheni,kuna mikocheni uswahilini na mikocheni ushuani
Kinondoni hivo hivo,ushuani na uswahilini
Ubaya haya maeneo ni flatland yaan mvua ikinyesha maji yanatuama knoma barabaran,,, ukiacha tu lami ili uelekee geto unakuta barabara nzma ina dimbwi la majiMagomeni, Ilala, Sinza, Kinondoni.
Pw pwChini ya 20
Pw pwToa mikocheni Kuna mikocheni B weee uswahilini balaaa,ununio sijui kule Kuna wale wazawa mpk mbezi beach Ina uswazi na nyumba za hovyoo
Dar ni masaki ,upanga,posta na obey toa pale polisi kota
Mvua imenyesha ni wakati muafaka wa kutoboa kuflash vyoo vya ghorofa!; utaona mavi ya disaini zote yanaeleaUnaongelea kwetu ni vinyesi viko bwawani vinamwaga sio mtaani na ni maujiuji tu
Nisome tena kijana kabla hujanielewa mdogo wanguuun
aisee unaweza fananinisha maisha ya uswazi na kijijini, labda vijijii vya mtwara na usukumani, vijijini maisha ni matamu mzee ,mtu anaishi eneo kubwa, anajinafasi , huduma zote za msingi zipo maji, umeme, usafiri na uhakika wa kula mara tatu, vijiji kuna umoja na ukaribu, vijana wanakuzwa na tabia ya upambanaji na kutafta riziki, kijijni kila mtu ana kazi , yaani niishi mazense, mbagala nijione mjanja kwa lipi ,
Bila shaka nyama kwako hazikuwa shida zakoKuna kinondoni moscow,pale B katikati na nyuma ya mahakama nuksi yaani palivyo weeee....zaidi ya uswazi pachafuuuu afu nyumba za hovyoooo mnooo
Buku buku tu na mainiBila shaka nyama kwako hazikuwa shida zako
Dah sawaBuku buku tu na maini
Ndiyo, Nimeolewa na Mama yako tunaishi pamojaNdio umeolewa huko Binti?
Hii ni 💯 true. uswazi ukijifanya wew ndo miakili mingi unapiga wenzio gepu la maendeleo subutu,,lazma utapigwa zongo chapu.Ukitaka ufurahie vizuri maisha ya uswazi uwe mtu wa akili ndogo, upeo mdogo na mwenye kuridhika mapema na maisha madogo.
nashaur sana watu kuhama kwenye mitaa ya uswazi ..unakuta nyumba za mtaa mzima bati zinafanana kwa ukomavu wa maji na jua ..na hata mienendo na tabia za watu zinakushawishi uishi kama wao ...chuki ,uchawi wivu na vitisho vinakuja pale unapotaka kujitofautisha na wao..imagine unashusha mjengo wa maana alafu wa kisasa uswazi kitakachokupata hutosahau kwenye maisha yakoMpaka sasa hakuna hata mmoja anayeishi uswazi amekomenti. Sawa washua
Yote mmeongea mko sahihi kwa kifupi maisha ya huku ukija mgeni unaweza kusema kama tunaigiza lakini ndio siku zinasonga
Vigoma vya kanga moko vya uruguai ndo pake Mwanaidi ananyanyua dela kichupi njenje watoto wanafurahi wahuni tunabambia usiombe liwe linapigwa dundo la Balaa MC mzuka huo
Ila mimi, nawaogopa sana, watu wanao weka mbele imani hii ya uchawi, watu wenye kuweka mbele imani za kichawi, hata wakiishi uzunguni, muda wowote na atakua mchawi.nashaur sana watu kuhama kwenye mitaa ya uswazi ..unakuta nyumba za mtaa mzima bati zinafanana na umavu wa maji na jua ..na hata mienendo na tabia za watu zinakushawishi uishi kama wao ...chuki ,uchawi wivu na vitisho vinakuja pale unapotaka kujitofautisha na wao..imagine unashusha mjengo wa maana alafu wa kisasa uswazi kitakachokupata hutosahau kwenye maisha yako.
Mchawi anamjua mchawi mwenzakee mkuu haiwezekan ujengeee ety useme wachawi watakwandamaa ingali unakutaa hakuna hata mtu mwenye time naweee ila mtu unajishuku tu mtaa huu Kuna wanga Sanaa ...Ila mimi, nawaogopa sana, watu wanao weka mbele imani hii ya uchawi, watu wenye kuweka mbele imani za kichawi, hata wakiishi uzunguni, muda wowote na atakua mchawi.
.Ushirikina ndiyo hupelekea watu kuwa mchawi, tabia ya kishirikina chanzo chake ni hofu, na kupelekea kupoteza imani juu ya ulinzi wa Mungu, hivyo kutafuta Ulinzi mbadala.
.
.Hivyo namwogopa sana mtu mwenye hofu na Uchawi, hafai kuwa jirani yangu.