Maisha ya Ushagoo, Kabia na Togwa ndo mwendo wenyewe, Mama anachambua Mboga

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
406849_548892285140217_489556867_n.jpg
 
watu kama hawa unafikiri ikifika wakati wa uchaguzi a=watachagua chama gani?
 

NO STRESS AT ALL!
Hawazi kodi ya baba mwenye nyumba..
Hawazi atapata wapi hela ya unga au mboga (analima mwenyewe)...
Hawazi billi ya umeme (LUKU) au maji...

Hawazi wapi atapata kibarua..., amejiajiri mwenye...
Hawazi kwenda kuweka ustaarabu bar.., analiwazika na kachupa katogwa.....
Hawazi kuwa na mamilioni ya shillingi maana anaridhika na mamia au tu-elfu kadhaa anazopata msimu wa mavuno.
...
Hawazi......

Kazi kwako unayekufa kwa mawazo na ugumu wa maisha ya mjini uliyojitakia mwenyewe!:majani7:
 
Mbuzi mzee kumbe mambo ya kwetu Kenia unayamanya hadi ushagoo! Kohania atya ithe wa nyama? Sina cha kuongeza. Ila umenishekesha uliposema uchagoo. Nie witi ni Nyeri Githakwa. Ni wega muno mwana witu.
 
Mbuzi mzee kumbe mambo ya kwetu Kenia unayamanya hadi ushagoo! Kohania atya ithe wa nyama? Sina cha kuongeza. Ila umenishekesha uliposema uchagoo. Nie witi ni Nyeri Githakwa. Ni wega muno mwana witu.

Hata mie nimeshangaa kumbe kuna Mbuzi Mzee ni Mkenya............jiandae leo twende "Mulembe Night" Canivoire" Kiingilio mia tano tu..................leo ni mpaka asubuhi ya J1
 
Last edited by a moderator:
Changamoto za maisha ziko hata huko. Mvua inagoma mazao yanaungua na jua, mafuta ya taa hakuna, maji matatizo, matibabu shida, shule za watoto tabu kwa umbali na michango nk
 
NO STRESS AT ALL!
Hawazi kodi ya baba mwenye nyumba..
Hawazi atapata wapi hela ya unga au mboga (analima mwenyewe)...
Hawazi billi ya umeme (LUKU) au maji...

Hawazi wapi atapata kibarua..., amejiajiri mwenye...
Hawazi kwenda kuweka ustaarabu bar.., analiwazika na kachupa katogwa.....
Hawazi kuwa na mamilioni ya shillingi maana anaridhika na mamia au tu-elfu kadhaa anazopata msimu wa mavuno.
...
Hawazi......

Kazi kwako unayekufa kwa mawazo na ugumu wa maisha ya mjini uliyojitakia mwenyewe!:majani7:
Fresh and natural air also. No pollution. Check wife mgongo wazo kapozi tu anachambua mboga zake. Safi sana.
 
Umekagundua eeh!, mie hapa lindoni kwangu huwa napiga huto kama tutatu hivi ndo nakuwa na ujasiri wa kupambana na mbu



Huyu mtoa mada kanikumbusha maisha niliyoishi niliporipot kwenye appointment yangu ya kazi mara ya kwanza..
 
Back
Top Bottom