Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,847
- 15,252
Kamwenee bee, miaka hiyo natoka advance nikaomba course ya law chuo flan cha serikali. Nashukuru Mungu sana nikipata. Time ile tuliripoti chuo kama sikosei mwezi wa kumi hivi, basi kufika chuoni rasta nilikuwa mwenyewe tu, enzi hizo marasi hatukuwa wengi. Ila tulikuwa wale marasta by nature sio hawa Wa siku hizi wa fashion.
Basi ile wiki ya pili chuoni akaingia mwana chuo kutokea kaskazini (akitoka kazini) huyo ni mwanamke wote Tupo class moja, akavutiwa nami vile alijua sio mtu wa mambo mengi na wala sio sista duu,
Akanambia Vip Ras vyombo unapiga wap nikamwambia aah mi sio wa vyomboo saana, akasema fresh basi Jion tuonane pub flani nikamjibu fresh.
Kweli jioni nikaingizana maeneo alioniambia nikamkuta anatandika vyombo sio vya nchi hii, value +konyagi anachanganyia humo humo nikasema dah, fresh nikapiga japo kwa kujikaza sana.
Baada ya muda urafiki ukakolea sana, kuna siku Tupo na wana class wenzetu tumekaa tunamimina vyombo ghafla mtaa huo huo tukasikia kelele kumbe za wizi bana, mdada akachomoka kama mshale hapo keshapiga zile value za chupa Saizi ya kati zaidi ya nne hivi akaelekekea eneo la tukio. Kilichotuacha hoi ni Vip yule dada kupigana na majambazi manne tena ya kiume hadi hao majambazi kukimbia wote tulimuogopa kwa kweli.
Mi sikutaka urafiki nae hata japo alikuwa akinilizamisha tu hasa ile wikiendi tutoke wote, mi nilimuogopa vile sijawahi kumuona akiwa emevaa gauni wala sketi wala kwenda kanisani kwa muda wote huo tuliokuwa nae pale chuoni.
Pili mawasiliano yake, alikuwa akipigiwa simu nyingi kutoka kwa wanaume na alikuwa akiongea mikato mikato ili mtu wa pembeni usielewe.
Kilichofanya nikakata urafiki nae kabisa kuna wizi ulitokeaga bank fulani hivi na hiyo wiki alikuja hosteli kwangu tule maisha lakini akaniambia anaweza safiri kama siku mbili tatu hivi, na katika hizo siku akiwa kwangu alikuwa anatamka maneno maneno yanayohusiana na benki na ujambazi akiwa anaongea na simu na kweli baada ya muda ndo huo aliosafiri wizi ukatokea katika bank hiyo.
Niliuchuna kama sio mimi na nikamfungia vioo baada ya kugundua ni jambazi Sugu la kike tena linalokunywa mapombe yote makali hata bia hawezi kunywa anasema hizo ni soda, Huku linasoma sheria.
Sasa jambo lingine ni hili la kuitana oyaaa, au mshkaji hatuitani majina ya kike wala majina yetu, mtu mwenyewe mwendo wake ni wa kudunda dunda kama msela kweli mi nilishindwa huo urafiki wa aina hiyo jamani, mbaya zaidi anataka siku zote tulewe jumatatu mpaka jumatatu
Tuweni makini sana na marafiki tunaowapata jamani bila kuwa makini angeniingiza kwenye ujambazi na mimi
Basi ile wiki ya pili chuoni akaingia mwana chuo kutokea kaskazini (akitoka kazini) huyo ni mwanamke wote Tupo class moja, akavutiwa nami vile alijua sio mtu wa mambo mengi na wala sio sista duu,
Akanambia Vip Ras vyombo unapiga wap nikamwambia aah mi sio wa vyomboo saana, akasema fresh basi Jion tuonane pub flani nikamjibu fresh.
Kweli jioni nikaingizana maeneo alioniambia nikamkuta anatandika vyombo sio vya nchi hii, value +konyagi anachanganyia humo humo nikasema dah, fresh nikapiga japo kwa kujikaza sana.
Baada ya muda urafiki ukakolea sana, kuna siku Tupo na wana class wenzetu tumekaa tunamimina vyombo ghafla mtaa huo huo tukasikia kelele kumbe za wizi bana, mdada akachomoka kama mshale hapo keshapiga zile value za chupa Saizi ya kati zaidi ya nne hivi akaelekekea eneo la tukio. Kilichotuacha hoi ni Vip yule dada kupigana na majambazi manne tena ya kiume hadi hao majambazi kukimbia wote tulimuogopa kwa kweli.
Mi sikutaka urafiki nae hata japo alikuwa akinilizamisha tu hasa ile wikiendi tutoke wote, mi nilimuogopa vile sijawahi kumuona akiwa emevaa gauni wala sketi wala kwenda kanisani kwa muda wote huo tuliokuwa nae pale chuoni.
Pili mawasiliano yake, alikuwa akipigiwa simu nyingi kutoka kwa wanaume na alikuwa akiongea mikato mikato ili mtu wa pembeni usielewe.
Kilichofanya nikakata urafiki nae kabisa kuna wizi ulitokeaga bank fulani hivi na hiyo wiki alikuja hosteli kwangu tule maisha lakini akaniambia anaweza safiri kama siku mbili tatu hivi, na katika hizo siku akiwa kwangu alikuwa anatamka maneno maneno yanayohusiana na benki na ujambazi akiwa anaongea na simu na kweli baada ya muda ndo huo aliosafiri wizi ukatokea katika bank hiyo.
Niliuchuna kama sio mimi na nikamfungia vioo baada ya kugundua ni jambazi Sugu la kike tena linalokunywa mapombe yote makali hata bia hawezi kunywa anasema hizo ni soda, Huku linasoma sheria.
Sasa jambo lingine ni hili la kuitana oyaaa, au mshkaji hatuitani majina ya kike wala majina yetu, mtu mwenyewe mwendo wake ni wa kudunda dunda kama msela kweli mi nilishindwa huo urafiki wa aina hiyo jamani, mbaya zaidi anataka siku zote tulewe jumatatu mpaka jumatatu
Tuweni makini sana na marafiki tunaowapata jamani bila kuwa makini angeniingiza kwenye ujambazi na mimi