Maisha ya Ubachela

Watu8

Platinum Member
Feb 19, 2010
70,820
93,502
cooking-with-george-005.jpg
 
Nyie mnaotaoa kommenti hapa. Nauliza maswali. Mmejuaje kwamba huyo mtasha ni bachelor? Mwanaume hatakiwi kusonga ugali? Pili, mmejuaje kama huo ugali atakula yeye peke yake? Mmeingia ndani ya nyumba mkaona kuna watu wangapi? Ndio maana nasema mnatoa mada za kitoto hapa. Kama hamna cha kuandika kaeni kimya. Someni michango ya watu walioenda shule.
 
Nyie mnaotaoa kommenti hapa. Nauliza maswali. Mmejuaje kwamba huyo mtasha ni bachelor? Mwanaume hatakiwi kusonga ugali? Pili, mmejuaje kama huo ugali atakula yeye peke yake? Mmeingia ndani ya nyumba mkaona kuna watu wangapi? Ndio maana nasema mnatoa mada za kitoto hapa. Kama hamna cha kuandika kaeni kimya. Someni michango ya watu walioenda shule.
Mkuu hiyo I'd yako ntapata wapi hicho kitabu?
Mara ya mwisho nilikisoma mwaka 1988 nikiwa std2.
 
Nyie mnaotaoa kommenti hapa. Nauliza maswali. Mmejuaje kwamba huyo mtasha ni bachelor? Mwanaume hatakiwi kusonga ugali? Pili, mmejuaje kama huo ugali atakula yeye peke yake? Mmeingia ndani ya nyumba mkaona kuna watu wangapi? Ndio maana nasema mnatoa mada za kitoto hapa. Kama hamna cha kuandika kaeni kimya. Someni michango ya watu walioenda shule.

mazee unaulizanga maswali mingi kwani we ni polisi???
 
mazee unaulizanga maswali mingi kwani we ni polisi???

Kaka sio hivyo. Kuna members hapa wanaleta mada za kitoto sana. Tunataka kuikomesha hii tabia ya kuleta mada za kipuuzi hapa ndani. Wakishajua kuna mwanamalundi hapa ndani, hawawezi tena kuleta mada za kitoto.
 

Kaka sio hivyo. Kuna members hapa wanaleta mada za kitoto sana. Tunataka kuikomesha hii tabia ya kuleta mada za kipuuzi hapa ndani. Wakishajua kuna mwanamalundi hapa ndani, hawawezi tena kuleta mada za kitoto.

Sawa mkuu ila wakati mwingine uwe unacheck check, si unajua mzee mzima Invisible hana simile!
 
Back
Top Bottom