Maisha ya tz 2010--2015

upele

JF-Expert Member
Mar 3, 2010
364
31
Image071.jpg Image072.jpg
 
lakini wengine wacha wakome mana mwisho wa siku tena utakuta kavaa kilemba cha kijani na t-shirt huku akipigwa na jua kuwasikiliza wajanja wa maneno
 
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=37201&amp;stc=1" attachmentid="37201" alt="" id="vbattach_37201" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=37202&amp;stc=1" attachmentid="37202" alt="" id="vbattach_37202" class="previewthumb" />
<br />
<br />
Ipo katika ILANI ya uchaguzi ya mwaka 2005, kipengele cha Ajira 1,000,000 za mheshimiwa!
 
Na hawa hawa ndo wanasema...nambari waniiii eehhh nambari wani ni ccm???? Jamani chonde chonde walalahoi hamkeni kumekucha
 
Mimi hapo naona mjasiriamali, enviromentalits, a self-driven go-getter. Kulalamika bila wewe mwenyewe kujituma hakuwezi kuleta mabadiliko. Hivi hata kama hizo ajira 1m za JK zingekuwa za kweli mlitegemea zitaletwa zimefungwa kwenye gift box huko vijiweni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom