Maisha ya sinema yanatesa tuishi maisha yetu halisi

green rajab

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
11,289
35,798
Members nije kwenye maada husika. Hii mada inalenga hasa wale watabaka la chini tunajiita wa uswazi, kwanza kabisa ifahamike kua familia nyingi za kishua wamekua hawatumii fedha nyingi kwenye mahitaji ya msingi ya kila siku kwa mwanadamu kama mavazi na chakula wengi hua na ratiba ya kula ugali mboga za majani wiki nzima na jpl ndio siku ya kula nyama.

Kwetu uswahilini tunaongoza kwa kununua nguo za gharama na kukaangiza vitoweo mbali mbali kama kuku nyama na samaki kila siku huku tukiunga na nazi tatu nyanya kisado. Tunasahau kua tupo kwenye utumwa wa kifikra uswazi ukila dona mchicha au tembele unaonekana ni umechoka kiuchumi hiyo dhana ndio inawatesa watu na kuwamalizia akiba zao.

Jambo lingine ni ununuaji mavazi ya gharama kuliko uhalisia wa maisha yako afu umepanga nyumba ya gharama kubwa wakati kuna nyumba za bei nafuu lengo lako uonekane upo vizuri lakini kiukweli unajitesa fedha yote unayopata inaishia kujaza kabati na kukaangiza.

Umepanga apartment vyumba vitatu huna familia ili uonekane nawe upo vizuri, umekopa umenunua gari used unashindwa kukatia hata bima kubwa ukipigwa pasi unatelekeza gari gereji huo ni utumwa tutafute pesa na tuitumie kwa nidhamu itusaidie zaidi. Tuishi kulingana na hali zetu sinema hazina faida....ni hayo tu
 
Poor & Rich
images-10.jpg
 
Members nije kwenye maada husika. Hii mada inalenga hasa wale watabaka la chini tunajiita wa uswazi, kwanza kabisa ifahamike kua familia nyingi za kishua wamekua hawatumii fedha nyingi kwenye mahitaji ya msingi ya kila siku kwa mwanadamu kama mavazi na chakula wengi hua na ratiba ya kula ugali mboga za majani wiki nzima na jpl ndio siku ya kula nyama.

Kwetu uswahilini tuongoza kwa kununua nguo za gharama na kukaangiza vitoweo mbali mbali kama kuku nyama na samaki kila siku huku tukiunga na nazi tatu nyanya kisado. Tunasahau kua tupo kwenye utumwa wa kifikra uswazi ukila dona mchicha au tembele unaonekana ni umechoka kiuchumi hiyo dhana ndio inawatesa watu na kuwamalizia akiba zao.

Jambo lingine ni ununuaji mavazi ya gharama kuliko uhalisia wa maisha yako afu umepanga nyumba ya gharama kubwa wakati kuna nyumba za bei nafuu lengo lako uonekane upo vizuri lakini kiukweli unajitesa fedha yote unayopata inaishia kujaza kabati na kukaangiza.

Umepanga apartment vyumba vitatu huna familia ili uonekane nawe upo vizuri, umekopa umenunua gari used unashindwa kukatia hata bima kubwa ukipigwa pasi unatelekeza gari gereji huo ni utumwa tutafute pesa na tuitumie kwa nidhamu itusaidie zaidi. Tuishi kulingana na hali zetu sinema hazina faida....ni hayo tu
Tusipangiane mkuu
 
Members nije kwenye maada husika. Hii mada inalenga hasa wale watabaka la chini tunajiita wa uswazi, kwanza kabisa ifahamike kua familia nyingi za kishua wamekua hawatumii fedha nyingi kwenye mahitaji ya msingi ya kila siku kwa mwanadamu kama mavazi na chakula wengi hua na ratiba ya kula ugali mboga za majani wiki nzima na jpl ndio siku ya kula nyama.

Kwetu uswahilini tuongoza kwa kununua nguo za gharama na kukaangiza vitoweo mbali mbali kama kuku nyama na samaki kila siku huku tukiunga na nazi tatu nyanya kisado. Tunasahau kua tupo kwenye utumwa wa kifikra uswazi ukila dona mchicha au tembele unaonekana ni umechoka kiuchumi hiyo dhana ndio inawatesa watu na kuwamalizia akiba zao.

Jambo lingine ni ununuaji mavazi ya gharama kuliko uhalisia wa maisha yako afu umepanga nyumba ya gharama kubwa wakati kuna nyumba za bei nafuu lengo lako uonekane upo vizuri lakini kiukweli unajitesa fedha yote unayopata inaishia kujaza kabati na kukaangiza.

Umepanga apartment vyumba vitatu huna familia ili uonekane nawe upo vizuri, umekopa umenunua gari used unashindwa kukatia hata bima kubwa ukipigwa pasi unatelekeza gari gereji huo ni utumwa tutafute pesa na tuitumie kwa nidhamu itusaidie zaidi. Tuishi kulingana na hali zetu sinema hazina faida....ni hayo tu
ujumbe umeshiba kabisa mkuu
 
Members nije kwenye maada husika. Hii mada inalenga hasa wale watabaka la chini tunajiita wa uswazi, kwanza kabisa ifahamike kua familia nyingi za kishua wamekua hawatumii fedha nyingi kwenye mahitaji ya msingi ya kila siku kwa mwanadamu kama mavazi na chakula wengi hua na ratiba ya kula ugali mboga za majani wiki nzima na jpl ndio siku ya kula nyama.

Kwetu uswahilini tuongoza kwa kununua nguo za gharama na kukaangiza vitoweo mbali mbali kama kuku nyama na samaki kila siku huku tukiunga na nazi tatu nyanya kisado. Tunasahau kua tupo kwenye utumwa wa kifikra uswazi ukila dona mchicha au tembele unaonekana ni umechoka kiuchumi hiyo dhana ndio inawatesa watu na kuwamalizia akiba zao.

Jambo lingine ni ununuaji mavazi ya gharama kuliko uhalisia wa maisha yako afu umepanga nyumba ya gharama kubwa wakati kuna nyumba za bei nafuu lengo lako uonekane upo vizuri lakini kiukweli unajitesa fedha yote unayopata inaishia kujaza kabati na kukaangiza.

Umepanga apartment vyumba vitatu huna familia ili uonekane nawe upo vizuri, umekopa umenunua gari used unashindwa kukatia hata bima kubwa ukipigwa pasi unatelekeza gari gereji huo ni utumwa tutafute pesa na tuitumie kwa nidhamu itusaidie zaidi. Tuishi kulingana na hali zetu sinema hazina faida....ni hayo tu
Kuna rafiki yangu Mmoja alikuwa ameanza kaz anakaa kwenye nyumba ya room moja wenzake wamepanga kwenye full hse wakawa wanamuona kama hajielewi huwez amini wao ndio walijiona hawajielewi. Mshikaji akasave akanunua mjengo akahamia kwake akatoka mbavu za mbwa wao mpaka leo wanapanga... Kiukweli umasikin wetu tunajitafutia
 
Unasema matajiri hawaSpend pesa nyingi kwenye kula na kuvaa umefanya reserch au unaongea maneno ya vijiweni hemu mfuatilie Dadayake MO kwanza FatmaDewji then uje tena hapa na MO mkanda wa LV tu anaovaa unajua shingapi.

Musilete utopolo wa vijiweni mbaya hakuna mtu anaweka ptofile ya msosi ila wakikuwekea hao hutoandika maneno ya vijiweni.
 
Hivi mtori unanyama huu??? Saawa nitazikuta chini nipo chini ila sioni kitu......itakuwa mulijisahau kuweka...
 
Kuna rafiki yangu Mmoja alikuwa ameanza kaz anakaa kwenye nyumba ya room moja wenzake wamepanga kwenye full hse wakawa wanamuona kama hajielewi huwez amini wao ndio walijiona hawajielewi. Mshikaji akasave akanunua mjengo akahamia kwake akatoka mbavu za mbwa wao mpaka leo wanapanga... Kiukweli umasikin wetu tunajitafutia

Na kupanga ni kuchagua mzee. Na hii inakwenda moja kwa moja hadi ngazi ya Taifa, ukiwa na kiongozi asiye na malengo mbona flyovers na speed train tutazisikia kwenye bombaa..
Ni lazima mtu kuwa na malengo ili kufikia maendeleo yako. Hata siku moja fasheni haitoacha kuwepo ila nguvu ya kujipatia maendeleo huja na kupotea. Hivyo cheza karata zako vizuri kabla hazijaja siku ngumu za uhai wako.
 
Unasema matajiri hawaSpend pesa nyingi kwenye kula na kuvaa umefanya reserch au unaongea maneno ya vijiweni hemu mfuatilie Dadayake MO kwanza FatmaDewji then uje tena hapa na MO mkanda wa LV tu anaovaa unajua shingapi.

Musilete utopolo wa vijiweni mbaya hakuna mtu anaweka ptofile ya msosi ila wakikuwekea hao hutoandika maneno ya vijiweni.
Kaka jaza kabati
 
kwanii baadhi ya watu huwa mna mawazo ya kutaka watu waishi kama unavyoishi wewe,,, shenzi type wewe kama umeamua kula tembele endelea kula acha mwingine ale nyama kila mtu na maisha yake
 
Members nije kwenye maada husika. Hii mada inalenga hasa wale watabaka la chini tunajiita wa uswazi, kwanza kabisa ifahamike kua familia nyingi za kishua wamekua hawatumii fedha nyingi kwenye mahitaji ya msingi ya kila siku kwa mwanadamu kama mavazi na chakula wengi hua na ratiba ya kula ugali mboga za majani wiki nzima na jpl ndio siku ya kula nyama.

Kwetu uswahilini tuongoza kwa kununua nguo za gharama na kukaangiza vitoweo mbali mbali kama kuku nyama na samaki kila siku huku tukiunga na nazi tatu nyanya kisado. Tunasahau kua tupo kwenye utumwa wa kifikra uswazi ukila dona mchicha au tembele unaonekana ni umechoka kiuchumi hiyo dhana ndio inawatesa watu na kuwamalizia akiba zao.

Jambo lingine ni ununuaji mavazi ya gharama kuliko uhalisia wa maisha yako afu umepanga nyumba ya gharama kubwa wakati kuna nyumba za bei nafuu lengo lako uonekane upo vizuri lakini kiukweli unajitesa fedha yote unayopata inaishia kujaza kabati na kukaangiza.

Umepanga apartment vyumba vitatu huna familia ili uonekane nawe upo vizuri, umekopa umenunua gari used unashindwa kukatia hata bima kubwa ukipigwa pasi unatelekeza gari gereji huo ni utumwa tutafute pesa na tuitumie kwa nidhamu itusaidie zaidi. Tuishi kulingana na hali zetu sinema hazina faida....ni hayo tu
wamekusikia kwa sauti kuu kabisa.
 
Back
Top Bottom