Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

1. sijasema tukio ni uzushi nimeraise doubt juu ya uwapo wa video ambayo haitolewi mpaka kwa masharti maalum. Masharti ambayo ni sawa na kuiamrisha serikali nini cha kufanya bila kuwa na reasonable doubt ya kufanya hivyo. Hivi kweli hata serikali iwe ya haki kiasi gani, unategemea iunde "tume ya kimahakama" just because kiongozi wa upinzani kasema hivyo?
Okay ukiachana na hilo, Kwa hiyo Serikali inasubiri hiyo video ndio ichukue hatua!? Halafu wewe kama wewe unahitaji hiyo video ili iweje!? ni kweli tukio lilitokea...

2. Uthibitisho uko wa aina nyingi: unapodai zitto kapokea bilioni 3 toka kwa dr kimei na usalama wa taifa tunahitaji kujua WEWE UMEJUAJE! Una mkanda wa video, una transcript za mazungumzo yao, unaweza kutuonyesha bank statement ya zitto inayoonyesha miamala hiyo to that effect au?
Hivi unataka kusema ya kwamba haukuona, ile mihamala iliyotolewa kipindi kile, yale mawasiliano ya e mail, na zile transfer za yule dada wa Ujerumani, mpaka Zitto akaanza kummind Yericko Nyerere...
3. Zitto kuwasiliana na jack zoka tatizo liko wapi? zitto ana uhuru wa kuzungumza na yoyote yule. kwani chadema wana uadui na vyombo vya serikali? jack zoka ni usalama wa taifa kwa raia wote including wanachama wa vyama vya upinzani, polisi, jeshi, wizara n.k vyote hivyo ni vya raia wote. Chadema inafanya kana kwamba ukiwa chadema then wewe automatically ni adui wa serikali! Je Chadema kwenye katiba yake inatii sheria za nchi gani? au kuna kipengele kinasema "chadema member shall not talk to usalama wa taifa" humo ndani ambacho ndio zitto kavunja?
vile vile, kama nakumbuka vizuri (nisahihishe kama nakosea), gazeti halikutoa mazungumzo (transcript), bali lilitoa namba za simu na call duration, je unaweza kutuambia walikuwa wanazungumzia nini? au kwa sababu zitto ni "adui wa mbowe" basi "lazima awe anapanga mipango dhidi ya chadema". Bila kujua kilizungumziwa nini the rest is mere speculation. Hivi gazeti likichapisha simply namba za simu na call duration kati ya Mbowe na Kikwete utaconclude hivyo hivyo kuwa Mbowe anauza chama kama ilivyo kwa zitto au?
Naona unaamua kuongea, hao kina Zitto si ndio waliunda uasi kwenye chama, wakaja na lile kundi la kina Ben Saanane, Juliana Shonza, kwani ni wapi Mbowe amefanya hayo ndani ya chama, mpaka uzungumzie na Mbowe kuweza kulinganisha na huo mfano wako...
4. Ushahidi wa mwigulu ambao siuongelei ni upi huo? sijaona video ya mwigulu popote pale, naomba link tafadhali niione kisha ndio nijadili.
Wewe unang'ang'ania kwamba Chadema watoe huo ushahidi wao kama wanao, lakini haung'ang'anii Mwigulu atoe ule ushahidi wake kwamba ana ushahidi mpaka mbinguni, ni jinsi gani Chadema wanavyohusika na ugaidi... Mbona Lwakatare ameachiliwa halafu Mwigulu amebaki na huo Ushahidi wake, au hiyo sio Conspiracy theory!?
5. Mahakama haijadili video kama video inajadili mashataka ambayo video ni ushahidi. Nilichotaka mimi ni maelezo kwa mtu kama wewe kuwa pale lwakatare kwa nini alikuwa anaongea yale? hivi wewe hujiulizi hili swali? Mipango ile haikupi maswali? Mpaka sasa hakuna alternative story ya video ile, kinachoonekana ni lwakatare kupanga mipango miovu baas! Chadema walitakiwa kusema kuwa the real story ni hii: "lwakatare alikuwa anaanda mswada wa bongomuvi", kitu kama hicho! sio kushabikia ushindi wa technicalities za kisheria mahakamani. Mwisho wa siku video iko pale pale bila maelezo.
Unasema mahakama haijadili Video, lakini ni hiyo hiyo video ndio iliyptumika kumkamata Lwakatare...
Pili, Ludovick pia ni mwanachama wa chadema, sababu za yeye kurekodi mimi nisiye chadema siwezi kujua. Lakini je, kama mwananchama wa chadema anapanga mipango ya kuvunja sheria kama ile, si wajibu wa mwanachama wa chadema kuifichua? au mwananchama wa chadema anatakiwa kulinda mipango miovu ya chadema wenzie? Kwangu mimi yoyote aliyefichua video ile ni mwananchi mwema anayetakia mema nchi yetu. Unless of course chadema/lwakatare waseme kuwa lwakatare alikuwa ana-act or something, then aliyefichua ndio tutamuita mchochezi. Lakini kama tunavyojua Chadema hawajawahi kutueleza lwakatare alikuwa anapanga mipango hiyo kwa sababu gani....perhaps ni mipango ya kichama?
Na kwanini hujiulizi ni huyo huyo Ludovick aliyeonekana kwenye tukio tena la Absalomu Kibanda... kwanini usijiulize Ludovick alikuwa na mission fulani ovu...
 
Okay ukiachana na hilo, Kwa hiyo Serikali inasubiri hiyo video ndio ichukue hatua!? Halafu wewe kama wewe unahitaji hiyo video ili iweje!? ni kweli tukio lilitokea...


Hivi unataka kusema ya kwamba haukuona, ile mihamala iliyotolewa kipindi kile, yale mawasiliano ya e mail, na zile transfer za yule dada wa Ujerumani, mpaka Zitto akaanza kummind Yericko Nyerere...

Naona unaamua kuongea, hao kina Zitto si ndio waliunda uasi kwenye chama, wakaja na lile kundi la kina Ben Saanane, Juliana Shonza, kwani ni wapi Mbowe amefanya hayo ndani ya chama, mpaka uzungumzie na Mbowe kuweza kulinganisha na huo mfano wako...

Wewe unang'ang'ania kwamba Chadema watoe huo ushahidi wao kama wanao, lakini haung'ang'anii Mwigulu atoe ule ushahidi wake kwamba ana ushahidi mpaka mbinguni, ni jinsi gani Chadema wanavyohusika na ugaidi... Mbona Lwakatare ameachiliwa halafu Mwigulu amebaki na huo Ushahidi wake, au hiyo sio Conspiracy theory!?

Unasema mahakama haijadili Video, lakini ni hiyo hiyo video ndio iliyptumika kumkamata Lwakatare...

Na kwanini hujiulizi ni huyo huyo Ludovick aliyeonekana kwenye tukio tena la Absalomu Kibanda... kwanini usijiulize Ludovick alikuwa na mission fulani ovu...

1. serikali inaendelea na uchunguzi, ila ikipata video genuine itasaidia katika uchunguzi we hudhani hivyo? na serikali haina mpango wa kuunda tume ya kimahakama ndio kusema hiyo video haitatolewa milele?
2. Mimi sikuona chochote valid wala cha muhimu zaidi ya theories na assumptions za zitto na ujerumani na TISS etc, lakini kama unaweza tafadhali tupia links hapa tujikumbushe.
3. Nimeuliza je ukiwa chadema unageuka adui wa usalama wa taifa? Zitto kuongea na usalama wa taifa kuna kosa gani? ni hilo tu. Ingekuwa zitto ni al-shabab hapo sawa, kwani chadema huwa kuna mipango ya kigaidi gaidi ambayo zitto anaweza kuvujishia usalama wa taifa, mpaka akiongea na zoka iwe ishu?
4. Tufanye hivi: lets say lwakatare hakukamatwa wala kushitakiwa, je wewe video ile umeielewaje? mpaka leo ukiulizwa mantiki yake utasema ni nini?
 
1. serikali inaendelea na uchunguzi, ila ikipata video genuine itasaidia katika uchunguzi we hudhani hivyo? na serikali haina mpango wa kuunda tume ya kimahakama ndio kusema hiyo video haitatolewa milele
Wewe unaamini kabisa ya kwamba serikali inaendelea na uchunguzi!? Watu waliokuwepo kwenye ule mkutano walikiri kabisa Polisi walikuwa wanawashambulia baada ya kuanza kumfukuzia aliyeripuwa... Serikali inatuhumiwa halafu tena yenyewe ianze kujichunguza!? Kwani yule kamanda Kamuhanda baada ya mauaji ya Mwangosi alifanywa nini!? tena yalitokea mbele yake kabisa, Serikali ilifanya nini zaidi ya kumpandisha cheo kwa kazi nzuri kwa mtazamo wa Serikali aliyoifanya...
2. Mimi sikuona chochote valid wala cha muhimu zaidi ya theories na assumptions za zitto na ujerumani na TISS etc, lakini kama unaweza tafadhali tupia links hapa tujikumbushe.

3. Nimeuliza je ukiwa chadema unageuka adui wa usalama wa taifa? Zitto kuongea na usalama wa taifa kuna kosa gani? ni hilo tu. Ingekuwa zitto ni al-shabab hapo sawa, kwani chadema huwa kuna mipango ya kigaidi gaidi ambayo zitto anaweza kuvujishia usalama wa taifa, mpaka akiongea na zoka iwe ishu?

4. Tufanye hivi: lets say lwakatare hakukamatwa wala kushitakiwa, je wewe video ile umeielewaje? mpaka leo ukiulizwa mantiki yake utasema ni nini?
Mantiki ya Ludovick kurekodi ile video ili kwamba iweze kutumika kushusha Thamani ya Chadema Watanzania waiangalie visivyo, ijulikani ni chama kinachopanga njama sio... Zile Tshs 50.000/= alizopewa Ludovick na Mwigulu ni za nini!?
 
Wewe unaamini kabisa ya kwamba serikali inaendelea na uchunguzi!? Watu waliokuwepo kwenye ule mkutano walikiri kabisa Polisi walikuwa wanawashambulia baada ya kuanza kumfukuzia aliyeripuwa... Serikali inatuhumiwa halafu tena yenyewe ianze kujichunguza!? Kwani yule kamanda Kamuhanda baada ya mauaji ya Mwangosi alifanywa nini!? tena yalitokea mbele yake kabisa, Serikali ilifanya nini zaidi ya kumpandisha cheo kwa kazi nzuri kwa mtazamo wa Serikali aliyoifanya...

Mantiki ya Ludovick kurekodi ile video ili kwamba iweze kutumika kushusha Thamani ya Chadema Watanzania waiangalie visivyo, ijulikani ni chama kinachopanga njama sio... Zile Tshs 50.000/= alizopewa Ludovick na Mwigulu ni za nini!?

1. Nimesoma hiyo link yako lakini nashindwa kupambanua je huo ni uchunguzi wa chama au vipi? maana ninavyojua zitto kafukuzwa chama kwa misingi ya 'waraka' na sio hii document ndefu ya 'ujasusi'. je hii document nani author?
2. sikukuuliza sababu ya ludovick kurekodi, nimekuuliza sababu ya lwakatare kupanga ile mipango ya kuteka watu, je ilikuwa ni nini? Au ile huwa ni mipango ya kawaida kabisa ndani ya chadema ndio maana ludovick anashambuliwa?
 
1. Nimesoma hiyo link yako lakini nashindwa kupambanua je huo ni uchunguzi wa chama au vipi? maana ninavyojua zitto kafukuzwa chama kwa misingi ya 'waraka' na sio hii document ndefu ya 'ujasusi'. je hii document nani author?
Kwani wewe uliomba kitu gani!? kwani tumezungumzia Zitto alifukuzwa kwa ajili ya nini!? kuna ile link ya lile gazeti la Saed Kubenea ila naona Jamiiforums wameweka tu nyota nyota kwa hiyo inakuwa ni vigumu kuingia ile link ya pili...
2. sikukuuliza sababu ya ludovick kurekodi, nimekuuliza sababu ya lwakatare kupanga ile mipango ya kuteka watu, je ilikuwa ni nini? Au ile huwa ni mipango ya kawaida kabisa ndani ya chadema ndio maana ludovick anashambuliwa?
Kwani Lwakatare alikuwa anapanga ile mipango pamoja na nani!? Au alikuwa anajipangia mwenyewe!?
 
Kwani wewe uliomba kitu gani!? kwani tumezungumzia Zitto alifukuzwa kwa ajili ya nini!? kuna ile link ya lile gazeti la Saed Kubenea ila naona Jamiiforums wameweka tu nyota nyota kwa hiyo inakuwa ni vigumu kuingia ile link ya pili...

Kwani Lwakatare alikuwa anapanga ile mipango pamoja na nani!? Au alikuwa anajipangia mwenyewe!?

1. Chadema wenyewe wanasema hivi: Chadema yasema Zitto aliponzwa na waraka tu - Siasa - mwananchi.co.tz . Zitto hakufukuzwa kutokana na hizo conspiracies za ujerumani, crdb, zoka etc, why? Je hizo taarifa za zitto na zoka na kimei zilitoka chadema? Au ni watu walijitungia?

2. Kwa hiyo unakubali kuwa lwakatare alikuwa anapanga mipango ya kihalifu isipokuwa hakuwa peke yake sio?...sasa kwa nini chadema inamtetea, chadema kinafanya siasa za kutekana? Mimi sina shida ikiwa wote waliopanga mipango hiyo pamoja na lwakatare wakamatwe, swali langu ni kwa nini unaonekana kutetea siasa za kihalifu kama hizi?
 
1. Chadema wenyewe wanasema hivi: Chadema yasema Zitto aliponzwa na waraka tu - Siasa - mwananchi.co.tz . Zitto hakufukuzwa kutokana na hizo conspiracies za ujerumani, crdb, zoka etc, why? Je hizo taarifa za zitto na zoka na kimei zilitoka chadema? Au ni watu walijitungia?

2. Kwa hiyo unakubali kuwa lwakatare alikuwa anapanga mipango ya kihalifu isipokuwa hakuwa peke yake sio?...sasa kwa nini chadema inamtetea, chadema kinafanya siasa za kutekana? Mimi sina shida ikiwa wote waliopanga mipango hiyo pamoja na lwakatare wakamatwe, swali langu ni kwa nini unaonekana kutetea siasa za kihalifu kama hizi?


Km ushahidi mnao Juu ya Lwakatale Pamoja Na CDM kuendesha siasa za kihalifu si mkifute chama? Mnasubiri nini Zaidi? Mbona ktk gazeti letu pendwa ----------- hamkusubiri kitu mkalipiga kufuli mpk Kesho halipo mnashindwa nini kuifuta CDM? Usifanye watu wajinga kwamba hawaelewi michezo michafu ifanywayo na CCM dhidi ya vyama vingine! Na mnabahati Hii ESCROW imetokea gazeti la ----------- liko jela vinginevyo lingewataja wote! Chezea Kubenea wewe?
 
Uzuri wa hizi fact hata ukizibishia leo kuna sikuutazikubali tu, wewe uko huku Tanzania unabisha Osama hakuuwawa, wakati wakezake osama wanajulikana na watoto wa osama wanajulikana na wote wanathibitishawalikuwa na baba yao na ni kweli aliuwawa hivi tukuamini wewe ulioko hukuTanzania na stori zako za vijiweni. Wake zake osama walimkinga asipigwe risasina navy seals wakapigwa wao za miguuni na osama akapigwa risasi mbiliwanathibitisha kuwa ni kweli osama kauwawa, wewe huku Tz unabisha.

Halafu sikusema osama kakubali kuwa ndiye aliyepangamashambulizi ya WTC, aliyekubali kuwa yeye ndiyo brain behind 9/11 ni KSM naRamzi walipohojiwa na mwandishi wa Aljazeera. Wazo la kushambulia WTC halikuwala Osama ila lilikuwa la KSM ndio alimpelekea Osama wakati yupo Afg enzi zataleban. KSM alihitaji support kutoka kwa Osama ya foot soldiers wa kufanya ilemission na financial support. Na ile tactic ya kuzibamiza ndege kwenye majengo,KSM aliitoa kwenye vita kuu ya pili ambapo Japanese suicide pilots walikuwawanaruka na ndege zenye milipuko na kwenda kujibamiza kwenye manowari zamajeshi ya washirika na kuzizamisha, hii staili ilijulikana kama “kamikaze”,walifanikiwa kuzamisha manowari nyingi za kivita na kuuwa askari zaidi ya 5000wa majeshi ya washirika (alied troops). KSM aliona sifa za ile mission ya WTCzinaenda kwa Osama wakati lile lilikuwa wazo lake ndio maana akaamua kumwitaYule mwandishi wa Aljazeera ili kuweka record straight. Ukienda nchi za kiarabuwanaoitwa magaidi na marekani kule ni mashujaa (martyrs) ndio maana hata waowanaoneana wivu mwingine anapopata sifa kama unamkumbuka Abu Musab Al Zaqawialipata sifa sana wakati wa vita ya Iraqi maana ndiye aliyeongoza mapambano yaAlqaeda katika ukanda ule, sifa ziliongezeka zaidi pale alipomteka na kumchinjakama kuku askari wa marekani aliyekuwa anaendesha kifaru. Osama alipoona AlZaqawi anapata umaarufu sana akamuonya kuwa mambo anayoyafanya yanaenda kinyumena mafundisho ya kuran hivyo kabla hajafanya kitu chochote lazima aombe kibali kutokakwake. Lakini ukiangalia kilichomsukuma kutoa onyo kwa Zaqawi ni wivu kuwaatamzidi umaarufu maana kama ni kuchinja makafili (infidels) jeshi la mujahdeenla Afghan lililokuwa linaongozwa na kina Mular Omar na Osama ndilo lilikuwalinawachinja makafili na traitors kama unakumbuka Yule tribal lord wa NothernAlliance alivyokamatwa na kuchinjwa Ijumaa baada ya swala kule Kandahar wakatiwa uvamizi wa Marekani kule Afghanstan.

Issue ya doble agent inatumika sana katika hizimission ili ku-infiltrate enemy territory ingawa sometimes inback-fire.Successful mission mojawapo iliyotumia double agent ni ile iliyomuua yule imamwa yemen mzaliwa wa marekani Anwar Al Awlaki. Huyu alikuwa anatafutwa namarekani kwa kuhusika kwake na 9/11 ambapo ilikuja kujuikana kuwa hijackerswatatu wa 9/11 walikuwa wanasali kwenye msikiti wake. Vilevile moja waoalieongoza flight 77 alikuwa na namba yake kwenye diary yake. Huyu imamalikimbilia yemen akajificha huko. Kilichomponza ni kuwa mahubiri yake mengialikuwa anayapost kwenye U-tube mpaka kuna wakati CIA waliomba kibali congressili waondoe baadhi ya mahubiri yake yaliyokuwa yana-incite jihad kwenye utube.Sasa alipokuwa yemen CIA kwa kushirikiana na Danish Intelligence Agency PETwakam-recruit kijana mmoja wa denmak ajulikanaye kama Storm aende akazoeanenaye. Yule kijana akajifanya nye ni sympathizer wa jihadi akawa naye anachangiakwenye mahubiri anayotoa Anwar kwenye internet mwishowe akaenda yemen kukutanana Anwar. Anwar akamweleza kuwa anapanga kushambulia kwenye ma-supermarketmakubwa marekani kwa kutumia biological weapons. Baada ya mahusiano ya mudamrefu Anwar akamwomba amnunulie Flash am-downloadie magazeti ya marekani iliajue wanamwandikaje kwa kuwa yeye alikuwa mafichoni. Hapo ndipo CIA wakampaStorm flash disc yenye tracking micro-chip. Wiki moja tokea ampe ile flash CIAwalituma drone ikamuua akiwa kwenye gari na wenzake watatu baadae kakamuua namtoto wake.

Lakini hii technique yak u-recruit doble agent huwasometimes inaback-fire kwa sababu huwa subjected to loyality. Si unakumbukakule Afghanstani kwenye base ya marekani ya kupambana na mitandao ya kigaidi yaalqaeda, Haqqan na talebani inayojulikana kama CAMP CHAPMAN kilinuka mwaka2009. CIA na Jordanian Intelligency walim-recruit Jordanian doctor aliyekuwaanasympathize na Alqaeda aliyejulikana kama Humam Khalil Abu-Mulal al-Balawiakawa “TRIPLE AGENT”, Huyu anatoka kijiji kimoja na Alqaeda leader inMesopotamia Abu Musab Al Zarqawi. Sasa Al Balawi alifanya kazi na CIA na kuwapataarifa za ukweli walipo wapiganaji wa Alqaeda na ikawa ni kweli CIA wakitumadrone inawaua. Si wakamwamini, akawaambia yeye atawafanikishia CIA kumuua aukumkamata Ayman Al Zawahil, CIA wakaingia mkenge akawa akiingia kwenye base yaoya chapman hawamsachi. Siku akawadanganya anataarifa muhimu sana kuhusiana naAl Zawahil hivyo anahitaji kuonana na top officials wa CIA, Basi yule mamaambaye alikuwa Chief of operation katika ile base anaitwa Jennifer Lynne Matthews akawaita hadimaafisa wengine wa CIA kutoka Kabul, alipofika getini hakusachiwa ingawa kunamageti matatu, maofisa wote wakatoka kumpokea nje, kumbe kajifunga bomu la kilo15 akalilipua aliua watu 9 palepale na wengine kadhaa kujeruhiwa. Hii ndio riskya ku-recruit double agent hauwezi kujua loyality yake ipo kwa nani. Mara baadaya kujitoa muhanga na kuuwa maofisa wa CIA, Al Balawi alionekana kwenye videofootage iliyorushwa kwenye channel za TV Pakistani akiongea kuwa amefanya liletukioa kama kulipiza kisasi cha kiongozi wa Alqaeda Pakistani Baitullah Mehsud aliyeuwawa na CIA kwa drone
[/QUOTE mkuu inabidi TISS wakuite uwape michongo upo fiti brw
 
Vile vile katika ripoti hiyo ya commission inamtaja afisa mmoja wa shirika la kijasusi la Pakistani (ISI) kuwa kuna uwezekano alihusika katika njama za marekani kumkamata Osama kwa kuwa wiki moja kabla ya tukio la kumkamata Osama, aliwatuma watu kukata miti mikubwa iliyokuwa inazunguka ile nyumba Abbottabad ikiwa ni maandalizi ya helicopter kutua. Vile vile baada ya tukio la kukamatwa Osama aliuza vitu vyake na kuondoka Pakistani. Tofauti kati ya mashirika ya intelligence ya huku kwetu na nchi zilizoendelea ni kuwa wenzetu mashirika yao yanafanya mission zenye maslahi kwa taifa siyo kwa chama tawala. Ndio maana mission ikishakamilika wanatoa taarifa yote in detail kasoro baadhi tu ya tactics ambazo wanaona wataendelea kuzitumia kwenye mission nyingine. Huku kwetu mission zilizojaa TISS ni zile za kukandamiza Upinzani kama kumuua Kombe, kuua viongozi wa upinzani, kuwarushia mabomu Chadema n.k hizi mission hauwezi kuja kujua ukweli mpaka mmoja wao awageuke aropoke. Wenzetu mission zao zinakuwa high classified, lakini ikishakamilika tu wana-disclose kila kitu. Kwa mfano mission ya kumkamata Khaleed Sheikh Mohamed (KSM) the ring leader and mastermind wa 9/11 na akina Ramzi Yousef inajulikana ilifanywaje. Walifuatilia trail ya hela zote zilizokuwa wired kwenye account ya Mohamed Attar (kiongozi wa magaidi waliobamiza ndege WTC) Walianzia Dortimund Ujerumani ambakao Mohammed Attar alikuwa anasoma master of Science in Urban Planning katika chuo kikuu cha Dortimund. Walifuatilia trail ya ufadhili wa hela, msikiti aliokuwa anaswali hadi wakajua cell yao ilikuwa na kina nani, safari zake Pakistani na watu aliokuwa anakutana nao. Mohamed Attar ndio alikuwa ana-distribute hela kwa wale wengine za kusomea u-pilot wa ndege marekani. lakini hadi wanasomea upilot walikuwa hawajui mission yao itakuwaje. aliekuwa anajua mission ni KSM na Mohamed Attar. Kuna gaidi mmoja ambaye alikuwa yupo kwenye kikosi cha kwanza lakini alinyimwa viza ya kuingia marekani ndio alimtaja KSM kuwa ndie aliekuwa anawafadhili. Tofauti na kina Osama, KSM alikuwa anaishi maisha ya kifahari, anaingia kwenye club za usiku, anatumia vileo, anatumia simu, anachukua machangu, hakuwa anaishai maisha ya kiislamu. Kosa la kwanza na kubwa ambalo KSM na Ramzi walilifanya ni kumualika mwandishi wa habari wa Al-jazeera kwenda kuwahoji Pakistani. Ikieleweka kuwa kabla ya 9/11, Osama alikuwa anajulikana lakini hakuwa maarufu sana, hivyo kulikuwa na struggle kati ya magaidi kila mtu akitaka kupata umaarufu kuwa yeye ndio gaidi zaidi. Hiki ndicho kiliwasukuma KSM na Ramzi kumualika yule mtangazaji wa Al-jazeera kwenda kuwahoji. Yule mtangazaji alienda Islamabad akafungwa kitambaa usoni akazungushwa kwenye gari kuanzia asubuhi hadi jioni ili asijue muelekeo, mwishowe akashushwa kwenye gari wakamuingiza kwenye nyumba ambayo ina bunker alipofunguliwa kitambaa akakutana uso kwa uso na KSM akiwa na Ramzi Yousef. Pale KSM aka-declare jihad against American na ku-confess yeye ndiye aliyepanga na ku-finance mission nzima ya kubamiza ndege WTC. Yule mtangazaji wa Al-jazeera alipomaliza kuwahoji akaomba aondoke na Video footage wakamkatalia ila wakamruhusu achukue Audio record, hilo ndilo lilikuwa kosa kubwa sana maana ile audio iliporushwa tu Al-Jazeera, CIA wakaenda kuichukua Al-Jazeera wakatenganisha voice print za kila mtu alieongea kwenye ule mkutano wakaingiza kwenye mashine yao inayo-identify voice print ya kila mtu kama finger print. Hapo ndio ukawa mwanzo wa Drone attack Pakistani. Mtu akiongea kwenye simu kabla hajakata simu anashangaa bomu limeshatua. Kuna tukio moja walikuwa wamewasiliana wahudhurie harusi na Ayman Al Zawahil atakuwepo, machale yakawacheza Zawahili hakwenda, ile harusi ilibutuliwa na drone walikufa watu ukoo mzima. Baada ya kukamatwa Ramzi, KSM alistuka kuwa anafuatiliwa kwenye simu hivyo alikuwa hatumii simu yake, anaomba watu atumie simu zao ndio maana zoezi la kumkamata KSM lilishindikana zaidi ya mara 20, wakimtrace sehemu wakienda hawamkuti, alikuwa halali sehemu moja mara mbili mfululizo, Mpaka walipoamua kumtengenezea ramani kwa kutumia simu anazotumia, waka-identify sehemu 14 ambazo kuna uwezekano mkubwa wa kumkuta. Hizo sehemu zote zikafanyiwa kitu kinaitwa "synchronized ambush", yaani vikatengenezwa vikosi 14 vya askari wa Pakistani vikishirikisha maafisa wa CIA katika kila kikosi ambavyo vita-ambush sehemu zote 14 kwa muda mmoja, hapo ndipo walipomkamata KSM lakini walichoshangaa ni kuwa kwenye location moja katika zile 14 walikuta kiwanja hakina nyumba. walipofuatilia waya wa simu unaotumika kwa ID ya kiwanja hicho uko kwenye nyumba ipi ndipo ofisa wa ISI mtaalamu wa IT akai-trace nyumba inayotumia ID ya kile kiwanja humo ndipo walipomfurumusha na kumpiga risasi Abu Zubeida ambaye alipelekwa kutibiwa ujerumani akapona na kutoa siri kibao.

Mkuu utadhani naangalia 24 na mission za Jack Baure ........!
 
1. Chadema wenyewe wanasema hivi: Chadema yasema Zitto aliponzwa na waraka tu - Siasa - mwananchi.co.tz . Zitto hakufukuzwa kutokana na hizo conspiracies za ujerumani, crdb, zoka etc, why? Je hizo taarifa za zitto na zoka na kimei zilitoka chadema? Au ni watu walijitungia?
Hivi kweli unaweza ukatunga fact!? vitu vinaelezewa unatolewa ushahidi na nambari za account pamoja na mihamala, namba za simu zote zinawekwa, Kwanini ule waraka ulifanywa wa siri!? na lile kundi la PM7 lengo lake lilikuwa ni nini!? hebu assume kwa mfano Ben Saanane asingewageuka ingekuwaje!? Halafu kitu kingine inamaana Kubenea alikuwa anajitungia tu!?

Ili isiwe ya kutungwa habari inatakiwa iweje!? Halafu kitu kingine ni nani aliyeongea habari za kufukuzwa kwa Zitto!? uliomba ushahidi unaletewa unasema ni wa kutunga...

2. Kwa hiyo unakubali kuwa lwakatare alikuwa anapanga mipango ya kihalifu isipokuwa hakuwa peke yake sio?...sasa kwa nini chadema inamtetea, chadema kinafanya siasa za kutekana? Mimi sina shida ikiwa wote waliopanga mipango hiyo pamoja na lwakatare wakamatwe, swali langu ni kwa nini unaonekana kutetea siasa za kihalifu kama hizi?
Wewe kwa kile cheo cha Lwakatare ndani ya chama ulitaka chama kimtose ama!? Kwani Chadema ilikwisha mteka nani!? Au unataka ulete habari zile za Tesha kumwagiwa Tindikali!? Mwenyekiti wa Chadema USA River, Msafiri Mbwambo alichinjwa kama kuku zile picha zinahudhunisha sana halafu wale watuhumiwa waliotenda tukio wanatoroka mbele ya mikono ya Polisi inaishia hivyo hivyo hakuna hatua...

Halafu wewe unaisifia hiyo Serikali na Chama chake kwamba ni safi unaona ya kwamba Chadema ndio wanafanya siasa za Conspiracy, acha double standard ndugu... Matukio ya CCM ni mengi zaidi kuliko hao unaowaita wana siasa za kihalifu, Hebu wewe orodhesha siasa za kihalifu za Chadema, na mimi niorodheshe za CCM, Kina Highness Kiwia na Machemli Wabunge wamepigwa mapanga na hao mnaowaita green guards... kwani hatua gani ilichukuliwa baada ya kuvamiwa hivyo!?

Labda nikuulize, unadhani ni kwanini Lwakatare alikutwa hana hatia!?
 
Km ushahidi mnao Juu ya Lwakatale Pamoja Na CDM kuendesha siasa za kihalifu si mkifute chama? Mnasubiri nini Zaidi? Mbona ktk gazeti letu pendwa ----------- hamkusubiri kitu mkalipiga kufuli mpk Kesho halipo mnashindwa nini kuifuta CDM? Usifanye watu wajinga kwamba hawaelewi michezo michafu ifanywayo na CCM dhidi ya vyama vingine! Na mnabahati Hii ESCROW imetokea gazeti la ----------- liko jela vinginevyo lingewataja wote! Chezea Kubenea wewe?

punguza jazba mimi sio huyo unayemuongelea. jadili bila kuweka ushabiki wa vyama.
 
Hivi kweli unaweza ukatunga fact!? vitu vinaelezewa unatolewa ushahidi na nambari za account pamoja na mihamala, namba za simu zote zinawekwa, Kwanini ule waraka ulifanywa wa siri!? na lile kundi la PM7 lengo lake lilikuwa ni nini!? hebu assume kwa mfano Ben Saanane asingewageuka ingekuwaje!? Halafu kitu kingine inamaana Kubenea alikuwa anajitungia tu!?

Ili isiwe ya kutungwa habari inatakiwa iweje!? Halafu kitu kingine ni nani aliyeongea habari za kufukuzwa kwa Zitto!? uliomba ushahidi unaletewa unasema ni wa kutunga...


Wewe kwa kile cheo cha Lwakatare ndani ya chama ulitaka chama kimtose ama!? Kwani Chadema ilikwisha mteka nani!? Au unataka ulete habari zile za Tesha kumwagiwa Tindikali!? Mwenyekiti wa Chadema USA River, Msafiri Mbwambo alichinjwa kama kuku zile picha zinahudhunisha sana halafu wale watuhumiwa waliotenda tukio wanatoroka mbele ya mikono ya Polisi inaishia hivyo hivyo hakuna hatua...

Halafu wewe unaisifia hiyo Serikali na Chama chake kwamba ni safi unaona ya kwamba Chadema ndio wanafanya siasa za Conspiracy, acha double standard ndugu... Matukio ya CCM ni mengi zaidi kuliko hao unaowaita wana siasa za kihalifu, Hebu wewe orodhesha siasa za kihalifu za Chadema, na mimi niorodheshe za CCM, Kina Highness Kiwia na Machemli Wabunge wamepigwa mapanga na hao mnaowaita green guards... kwani hatua gani ilichukuliwa baada ya kuvamiwa hivyo!?

Labda nikuulize, unadhani ni kwanini Lwakatare alikutwa hana hatia!?

1. Ninavyojua mimi tuhuma zile hazikutolewa na chama na ndio maana zitto hakufukuzwa toka wakati huo (2010 kama sikosei) kwa kukihujumu chama (among other things), zile zilikuwa tuhuma zilizozagaa mitandaoni toka kwa idara isiyojulikana kabisa katika katiba ya chadema. Unaweza kunitajia japo afisa mmoja tu aliyesaini hiyo ripoti kwa niaba ya chadema? Zitto alikuja kufukuzwa kutokana na "waraka". Swali langu lilikuwa rahisi tu, je hizo tuhuma (ujerumani, zoka, kimei etc), zilitoka wapi? Mbona chadema kama chama hakijawahi kutoa tuhuma kama hizo.

2. Namba za simu, akaunti za benki etc, hivi vitu WEWE umevithibitishaje? Nikikupa namba za simu na bank accounts hapa na stori ndefu kuwa ni vya bwana Mbowe akipokea fedha toka kwa lowassa wewe utathibitisha vipi? Katika tuhuma zile mimi sikuona ushahidi wowote toka TCRA labda, au benki zenyewe, ....watu wenyewe waliotoa hizo tuhuma hawana hata majina!!!Kitu gani kinakufanya uwaamini?

attachment.php




3. kwa swala la lwakatare tunarudi pale pale. Chadema inafanya siasa za kutekana au la? Maana naona unakwepa kujibu hili. Nimekuomba unipe mtazamo wako kuhusu ile video. Je lwakatare pale alikuwa anaigiza? au video ile kwa maoni yako ni 'photoshop' (yule sio lwakatare, yale sio maneno yake..), hebu nipe chochote kile. Vinginevyo watanzania wana wasiwasi na watu kama nyie ambao hamtoi maelezo mbadala kuhusu video na wala hamuizungumzii kabisa lakini mnamtetea lwakatare+chadema.
Sijui kama chadema inatakiwa imtose lwakatare, labda ile video na yaliyomo ni sera ya chama ambayo watu tusio chadema hatuijui. Lakini kwa mtu asiye chadema angetegemea yafuatayo:
1. Chadema waseme video ile ni ya kutunga/feki/photoshop...jambo ambalo si vigumu kuthibitisha ukweli wake, so far hakuna mtu yoyote mwenye chembe ya shaka kuwa video ile ni feki, hata mtuhumiwa mwenyewe lwakatare hajadai kuwa video ni feki, na so far anayelaumiwa ni ludovick kwa kuivujisha.

2. Chadema wangejiweka kando na maudhui ya video ile kwa kusema kuwa chadema wao kama chama hawafanyi siasa za kutekana n.k, na uchunguzi juu ya lwakatare ungeanza mara moja ili kubaini mengineyo.

Cha ajabu chadema wanamlaumu ludovick kwa kuvujisha video!! Kwa nini raia tusishangae?

4. Sijawahi kusema serikali na chama chake kuwa ni safi, hizo hoja za machemli na kiwia kupigwa mapanga na unaodai kuwa ni green guard pamoja na siasa zingine zozote chafu za CCM bado hazihalalishi video ya lwakatare kwa vyovyote vile. Ungeleta na wewe video za green guard wanapanga kupiga watu mapanga na kumchinja mbwambo hapo ingekuwa sawa, ungeona kama mimi ningetetea CCM kwa hayo. Lakini huwezi kukosa maelezo ya video ya lwakatare akipanga mipango ya kigaidi halafu ukachepusha kwa kudai green guard walipiga watu mapanga...je una-admit kuwa chadema inafanya siasa za kigaidi gaidi kama zile?
 
1. Ninavyojua mimi tuhuma zile hazikutolewa na chama na ndio maana zitto hakufukuzwa toka wakati huo (2010 kama sikosei) kwa kukihujumu chama (among other things), zile zilikuwa tuhuma zilizozagaa mitandaoni toka kwa idara isiyojulikana kabisa katika katiba ya chadema. Unaweza kunitajia japo afisa mmoja tu aliyesaini hiyo ripoti kwa niaba ya chadema? Zitto alikuja kufukuzwa kutokana na "waraka". Swali langu lilikuwa rahisi tu, je hizo tuhuma (ujerumani, zoka, kimei etc), zilitoka wapi? Mbona chadema kama chama hakijawahi kutoa tuhuma kama hizo.
Kwa mfano hizo tuhuma zingetoka Chadema, ndio ungeamini ni zakweli!? Habari za Zito zilianza kuchapishwa na Kubenea, kwani ni nani aliyejitokeza kupinga kati ya waliotuhumiwa!? zaidi ya kuanza kulalamikia mitandao ya simu tu... Kwa hiyo ikisainiwa na Chadema zinageuka zinakuwa za kweli!?

2. Namba za simu, akaunti za benki etc, hivi vitu WEWE umevithibitishaje? Nikikupa namba za simu na bank accounts hapa na stori ndefu kuwa ni vya bwana Mbowe akipokea fedha toka kwa lowassa wewe utathibitisha vipi? Katika tuhuma zile mimi sikuona ushahidi wowote toka TCRA labda, au benki zenyewe, ....watu wenyewe waliotoa hizo tuhuma hawana hata majina!!!Kitu gani kinakufanya uwaamini?
Labda nikuulize swali hivi habari ikichapishwa na gazeti la kiuchunguzi, Wewe utasema vipi ni ya uongo!? Unasema hukuona ushahidi wowote TCRA, je hao TCRA walikanusha!? Kwa maelezo hayo kwa maana nyingine unasema alionewa wivu tu...

Kitu cha kwanza je hizo namba za simu ni za uongo!? kitu cha pili, Zile account ni za uongo!? kitu cha tatu hiyo mihamala haikufanyika!?

3. kwa swala la lwakatare tunarudi pale pale. Chadema inafanya siasa za kutekana au la? Maana naona unakwepa kujibu hili. Nimekuomba unipe mtazamo wako kuhusu ile video. Je lwakatare pale alikuwa anaigiza? au video ile kwa maoni yako ni 'photoshop' (yule sio lwakatare, yale sio maneno yake..), hebu nipe chochote kile. Vinginevyo watanzania wana wasiwasi na watu kama nyie ambao hamtoi maelezo mbadala kuhusu video na wala hamuizungumzii kabisa lakini mnamtetea lwakatare+chadema.
Sijui kama chadema inatakiwa imtose lwakatare, labda ile video na yaliyomo ni sera ya chama ambayo watu tusio chadema hatuijui. Lakini kwa mtu asiye chadema angetegemea yafuatayo:
1. Chadema waseme video ile ni ya kutunga/feki/photoshop...jambo ambalo si vigumu kuthibitisha ukweli wake, so far hakuna mtu yoyote mwenye chembe ya shaka kuwa video ile ni feki, hata mtuhumiwa mwenyewe lwakatare hajadai kuwa video ni feki, na so far anayelaumiwa ni ludovick kwa kuivujisha.

2. Chadema wangejiweka kando na maudhui ya video ile kwa kusema kuwa chadema wao kama chama hawafanyi siasa za kutekana n.k, na uchunguzi juu ya lwakatare ungeanza mara moja ili kubaini mengineyo.

Cha ajabu chadema wanamlaumu ludovick kwa kuvujisha video!! Kwa nini raia tusishangae?
Kwa aina yako ya kuwaza, ninaweza nikakuuliza, nipatie uthibitisho kwamba pale Lwakatare alikuwa hajifurahishi... Kitu kingine unasema inawezekana ile ilikuwa ni sera ya chama, ndio maana nilikuuliza pale Lwakatare alikuwa na kina nani!? Sera ya chama inaeleweka, inakuwa vipi useme video ya mtu ni sera ya chama...

Halafu kitu kingine, kwa mtindo wako wa uthibitisho na jinsi ulivyoniuliza mimi, Pale kuna uthibitisho au saini kwamba imekuwa ni video ya chadema!? halafu kwani chadema walisema wao wanahusika na hiyo video!? Unasema uchunguzi ungeanza mara moja, kwani kilichofanyika ni kipi!? Halafu unaniuliza chadema wanafanya siasa za kutekana, kwani chadema ilikwa wahi mteka nani!?
4. Sijawahi kusema serikali na chama chake kuwa ni safi, hizo hoja za machemli na kiwia kupigwa mapanga na unaodai kuwa ni green guard pamoja na siasa zingine zozote chafu za CCM bado hazihalalishi video ya lwakatare kwa vyovyote vile. Ungeleta na wewe video za green guard wanapanga kupiga watu mapanga na kumchinja mbwambo hapo ingekuwa sawa, ungeona kama mimi ningetetea CCM kwa hayo. Lakini huwezi kukosa maelezo ya video ya lwakatare akipanga mipango ya kigaidi halafu ukachepusha kwa kudai green guard walipiga watu mapanga...je una-admit kuwa chadema inafanya siasa za kigaidi gaidi kama zile?
Wewe umeanza kusema chadema wana siasa za conspiracy, ulianza kuwaponda, sasa mimi nikawa nakuonyesha hao unaotaka wapewe ushahidi ili wafanye uchunguzi walivyo, sasa unaniomba video ya green guards wakipanga ndio uamini, we ni wa ajabu sana, nilitegemea ungejiuliza inawezekana vipi watuhumiwa waliochinja watoroke mikononi mwa polisi tena kiulaini bila purukushani!? halafu hilo sio tukio moja yapo mengi...

Unarudi unaniomba nikupe video ndio uamini... Nimekuuliza swali lakini naona hujalijibu, ni kwanini mahakama imeona Lwakatare hana hatia!? wakati wewe umeona ni gaidi!?
 
Kwa mfano hizo tuhuma zingetoka Chadema, ndio ungeamini ni zakweli!? Habari za Zito zilianza kuchapishwa na Kubenea, kwani ni nani aliyejitokeza kupinga kati ya waliotuhumiwa!? zaidi ya kuanza kulalamikia mitandao ya simu tu... Kwa hiyo ikisainiwa na Chadema zinageuka zinakuwa za kweli!?

Labda nikuulize swali hivi habari ikichapishwa na gazeti la kiuchunguzi, Wewe utasema vipi ni ya uongo!? Unasema hukuona ushahidi wowote TCRA, je hao TCRA walikanusha!? Kwa maelezo hayo kwa maana nyingine unasema alionewa wivu tu...

Kitu cha kwanza je hizo namba za simu ni za uongo!? kitu cha pili, Zile account ni za uongo!? kitu cha tatu hiyo mihamala haikufanyika!?


Kwa aina yako ya kuwaza, ninaweza nikakuuliza, nipatie uthibitisho kwamba pale Lwakatare alikuwa hajifurahishi... Kitu kingine unasema inawezekana ile ilikuwa ni sera ya chama, ndio maana nilikuuliza pale Lwakatare alikuwa na kina nani!? Sera ya chama inaeleweka, inakuwa vipi useme video ya mtu ni sera ya chama...

Halafu kitu kingine, kwa mtindo wako wa uthibitisho na jinsi ulivyoniuliza mimi, Pale kuna uthibitisho au saini kwamba imekuwa ni video ya chadema!? halafu kwani chadema walisema wao wanahusika na hiyo video!? Unasema uchunguzi ungeanza mara moja, kwani kilichofanyika ni kipi!? Halafu unaniuliza chadema wanafanya siasa za kutekana, kwani chadema ilikwa wahi mteka nani!?

Wewe umeanza kusema chadema wana siasa za conspiracy, ulianza kuwaponda, sasa mimi nikawa nakuonyesha hao unaotaka wapewe ushahidi ili wafanye uchunguzi walivyo, sasa unaniomba video ya green guards wakipanga ndio uamini, we ni wa ajabu sana, nilitegemea ungejiuliza inawezekana vipi watuhumiwa waliochinja watoroke mikononi mwa polisi tena kiulaini bila purukushani!? halafu hilo sio tukio moja yapo mengi...

Unarudi unaniomba nikupe video ndio uamini... Nimekuuliza swali lakini naona hujalijibu, ni kwanini mahakama imeona Lwakatare hana hatia!? wakati wewe umeona ni gaidi!?

1. Unauliza nani amepinga: Zitto kabwe alipinga, Andrea cordes aliyetajwa naye alipinga, na John mnyika mtu wa habari za chadema naye akapinga hiyo taarifa kuwa HAIKUTOKA CHADEMA, HAINA UHUSIANO NA CHADEMA. Napata tabu kwa wewe kuamini taarifa ambayo CHADEMA WENYEWE HAWAITAMBUI! Na ambayo tuhuma zake zingetosha kumfukuza zitto kabwe toka 2010!
attachment.php

nadhani mjadala wa zitto na mapesa ya usalama wa taifa/zoka, ujerumani na kimei nimeumaliza, zote zilikuwa uzushi tu. Ila kuwa huru kuendelea kuamini vinginevyo.

2. Mkuu unakwepa swali rahisi sana. Wewe kama wewe video ile unaichukuliaje? ni hilo tu. Weka mahakama kando, niweke mimi kando, weka kando mambo mengine yote, WEWE KAMA WEWE video ile unaichukuliaje? ni igizo? ni kweli lwakatare alikuwa anataka kumteka msacky, ni vipi?
 
1. Unauliza nani amepinga: Zitto kabwe alipinga, Andrea cordes aliyetajwa naye alipinga, na John mnyika mtu wa habari za chadema naye akapinga hiyo taarifa kuwa HAIKUTOKA CHADEMA, HAINA UHUSIANO NA CHADEMA. Napata tabu kwa wewe kuamini taarifa ambayo CHADEMA WENYEWE HAWAITAMBUI! Na ambayo tuhuma zake zingetosha kumfukuza zitto kabwe toka 2010!
attachment.php

nadhani mjadala wa zitto na mapesa ya usalama wa taifa/zoka, ujerumani na kimei nimeumaliza, zote zilikuwa uzushi tu. Ila kuwa huru kuendelea kuamini vinginevyo.
We wa ajabu sana, wapi nimesema hiyo habari imetoka chadema... kwa mfano chadema wangekubali, basi ndio inageuka kuwa kweli na wewe unaamini!? kwa hiyo yaani ile kupinga tu, basi ni tosha habari sio ya kweli!? kwa hiyo hata yale makanusho ambayo serikali huwa wanakanusha kila siku basi wewe moja kwa moja unaamini!?

Ngojea nikupe mfano, kwenye ile issue ya Escrow, Kafulila aliongelea ile issue ya misaada pamoja na MCC, Waziri wa fedha Sada akapinga kwa nguvu akakanusha, lakini leo hii tunaona Kafulila ndio alikuwa right... huo ni mfano tu usifanye subject...

2. Mkuu unakwepa swali rahisi sana. Wewe kama wewe video ile unaichukuliaje? ni hilo tu. Weka mahakama kando, niweke mimi kando, weka kando mambo mengine yote, WEWE KAMA WEWE video ile unaichukuliaje? ni igizo? ni kweli lwakatare alikuwa anataka kumteka msacky, ni vipi?
Mimi ile video naichukulia kwa upana zaidi... ndio maana inatakiwa kujulikana alikuwa na kina nani wakati wanafanya hiyo video... Au alikuwa mwenyewe!?
 
punguza jazba mimi sio huyo unayemuongelea. jadili bila kuweka ushabiki wa vyama.


Mi sina jazba nakushangaa wewe unazusha habari za ajabu!

Hoja ni kwamba km CDM inaendesha siasa za kihalifu na ushahidi mnao kifuteni hicho chama!
 
Hivi kweli unaweza ukatunga fact!? vitu vinaelezewa unatolewa ushahidi na nambari za account pamoja na mihamala, namba za simu zote zinawekwa, Kwanini ule waraka ulifanywa wa siri!? na lile kundi la PM7 lengo lake lilikuwa ni nini!? hebu assume kwa mfano Ben Saanane asingewageuka ingekuwaje!? Halafu kitu kingine inamaana Kubenea alikuwa anajitungia tu!?

Ili isiwe ya kutungwa habari inatakiwa iweje!? Halafu kitu kingine ni nani aliyeongea habari za kufukuzwa kwa Zitto!? uliomba ushahidi unaletewa unasema ni wa kutunga...


Wewe kwa kile cheo cha Lwakatare ndani ya chama ulitaka chama kimtose ama!? Kwani Chadema ilikwisha mteka nani!? Au unataka ulete habari zile za Tesha kumwagiwa Tindikali!? Mwenyekiti wa Chadema USA River, Msafiri Mbwambo alichinjwa kama kuku zile picha zinahudhunisha sana halafu wale watuhumiwa waliotenda tukio wanatoroka mbele ya mikono ya Polisi inaishia hivyo hivyo hakuna hatua...

Halafu wewe unaisifia hiyo Serikali na Chama chake kwamba ni safi unaona ya kwamba Chadema ndio wanafanya siasa za Conspiracy, acha double standard ndugu... Matukio ya CCM ni mengi zaidi kuliko hao unaowaita wana siasa za kihalifu, Hebu wewe orodhesha siasa za kihalifu za Chadema, na mimi niorodheshe za CCM, Kina Highness Kiwia na Machemli Wabunge wamepigwa mapanga na hao mnaowaita green guards... kwani hatua gani ilichukuliwa baada ya kuvamiwa hivyo!?

Labda nikuulize, unadhani ni kwanini Lwakatare alikutwa hana hatia!?

Kwa sababu hakuwa na makosa
 
acha uwongo, mbona report ya mission yake ilishawekwa wazi tokea alipouwawa kaisome acha stori za vijiweni. Taarifa za osama zilitolewa na detainee watatu wa alqueda waliopo guantanamo. Wa kwanza ni mastermind wa 9/11 khaleed sheikh mohamed (ksm), huyu ndie alimtaja courier wa osama ajulikanaye kwa jina la al kuwait ambaye ndiye anaebeba maelekezo na mawasiliano yote kutoka kwa osama na kupeleka kwa foot soldiers, wa pili kumtaja al kuwait ni abu zubeida, huyu abu zubeida pamoja na ramzi yousef ndio waliolipua wtc kabla ya 9/11. Abu zubeida kwanza aliteswa na cia kwa kutumia enhanced interogation techniques kama water borne akagoma kutoa information yoyote, mpaka cia wakamtishia kumkabidhi kwa intelligence ya saudi arabia wakiamini ataogopa maana saudi arabia wanajulikana kwa kutesa, wakashangaa anawaambia wampeleke saudi. Hapo ndio cia wakacheza trick wakampakiza kwenye ndege na kuzunguka naye muda mrefu angani wakijifanya wanampeleka saudi arabia mwisho wakatua naye sehemu hukohuko marekani wakawachukua maofisa wa cia waarabu wakiwa na nguo za jeshi la saudi arabia wakaanza kumuuliza maswali hapo ndio akamtaja al kuwait, halafu akawataja wafadhili wa osama akiwepo mtoto wa mfalme wa saudi, generali wa jeshi la saudi na maofisa wengine wawili wa serikali ya saudi na akawapa namba ya motto wa mfalme wampigie ili awaamrishe wamwachie. Watu wote waliotajwa na abu zubeida cia waliwaua kuanzia mtoto wa mfalme alikutwa amekufa akiwa vacation, yule general wa jeshi alikutwa amekufa jangwani kwa kiu na kukosa maji na wale maofisa wote. Huo ndio ukawa mwanzo wa osama kukosa hela (financial suffocation). Wakaanza kumfuatilia al kuwait pakistani wakamtrace akitokea sokoni hadi nyumba aliyokuwa akienda abbottabad. Osama aliishiwa hela mpaka wake zake walikuwa wanaenda kwa sonara wanauza mikufu na herein zao ili wapate hela ya kula. Ndio cia wakamkodia nyumba karibu na nyumba ya osama afisa wake aliyekuwa anafanya kazi katika shirika la save the children ambalo lilikuwa linafanya kampeni ya kinga ya magonjwa ya watoto. Na sio kwamba eti marekani walikuwa wanachukua dna za watoto na ku-match na za osama huo ni uwongo kwa sababu kinga iliyokuwa inaratibiwa na save the children ilikuwa ni ya matone sasa kuwapa watoto matone uta-extract vipi dna. Aliyebaki sasa ni second in command wa alqaeda daktari wa misri ayman al zawahil ambaye naye inaaminika amejificha kwenye mpaka wa afg na pak.

cia ni noma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom