Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Jamani wana jamvi, hili linatusumbua sana. Utashangaa wakati wa uchumba na urafiki watu wanakuwa na mapenzi tele, wanakumbatiana na mengine mengi! wanapendana na kuambiana you mean the world to me!
Shida inakuja baada ya kufunga ndoa! Wakiwa kwenye gari utajua tu ni mke na mume. Vile vicheko vya zamani vimekwisha, kukimbizana, kukumbatiana kwa mbinde? shida iko wapi? Utakuwa wanawake wengi kama sisi tunabaki kuangalia cinema za kina Ramsey wa Nigerai na Kanumba za Tanzania kukumbushia mapenzi! Tunakuwa tunajifariji na kuona ile ndio reality!
Recent study in America imeonyesha kuwa couples wengi wenye maisha mazuri na kuelewana na wale WALIOFANIKIWA KUBAKI MARAFIKI BAADA YA NDOA ZAO. Wenghi wetu tuliweka urafiki kando, tukawa na maisha ya kupaniana, kukomoana, na wakati mwingine kila anachofanya mwenzako unaona ni kosa. Jiulize, jambo hilo hilo analofanya mwenzako kama ungelichukulia positive na kuongea naye kwa upole, wala msingekwanzana.
wana JF, hasa wale ambao hawajaingia kwenye ndoa, jitahidini sana kubaki marafiki, mkivunja urafiki na mkawa MKE NA MUME, wait for countlessc sleepless nights!
Shida inakuja baada ya kufunga ndoa! Wakiwa kwenye gari utajua tu ni mke na mume. Vile vicheko vya zamani vimekwisha, kukimbizana, kukumbatiana kwa mbinde? shida iko wapi? Utakuwa wanawake wengi kama sisi tunabaki kuangalia cinema za kina Ramsey wa Nigerai na Kanumba za Tanzania kukumbushia mapenzi! Tunakuwa tunajifariji na kuona ile ndio reality!
Recent study in America imeonyesha kuwa couples wengi wenye maisha mazuri na kuelewana na wale WALIOFANIKIWA KUBAKI MARAFIKI BAADA YA NDOA ZAO. Wenghi wetu tuliweka urafiki kando, tukawa na maisha ya kupaniana, kukomoana, na wakati mwingine kila anachofanya mwenzako unaona ni kosa. Jiulize, jambo hilo hilo analofanya mwenzako kama ungelichukulia positive na kuongea naye kwa upole, wala msingekwanzana.
wana JF, hasa wale ambao hawajaingia kwenye ndoa, jitahidini sana kubaki marafiki, mkivunja urafiki na mkawa MKE NA MUME, wait for countlessc sleepless nights!