Milestone
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 379
- 407
Ni wazi mpaka umefika hapa, kuna mengi unapitia katika ndoa yako. Umekuja hapa kwa lengo la kupata ushauri. Kwa uchache wa taarifa ulizozitoa juu ya hayo yanayokukabili itakuwa ni vigumu kupata ushauri unaoendana na matatizo uliyonayo.Habari yenu,
Nipo kwenye ndoa miaka mitatu. Sijawahi kuona furaha ya ndoa hata watoto sina.
Nina mpango wa kudai talaka.
Naombeni Ushauri.
Au nimtoroke?