Ooh my God. Kwa mujibu wa sheria za nchi Makamba anatakiwa kuwa gela miaka 30 na viboko 12 for this defermation.
TAMWA MPO HAPO? Au mtakubaliana na kauli ya JK, kwamba kilikuwa ni kihere here cha yule mwanafunzi?
Wadau tunaomba data zaidi. Alimdanganya kwa pipi au ubuyu? Maana hii kali.
Huyu 1st Lady amekuwa mzigo mno mno! (ikwa vyovyote atakuwa anatumiwa/ana idhini ya mumewe + CCM camp). Bora hata akina Siti au Ana hawakutugharimu kama huyu
Unajua Junius huwa anaongelea upenzi zaidi kuliko facts kwa hiyo mimi huwa simchukulii serious.Unazi wako Junius hadi unakera;Upinzani ukisemwa kwa negativities zake ndiyo kwako inakuwa kampeni lkn CCM ikianikwa negativities zake ndiyo kwako inakuwa usanii;double standards for the same dude-shame on you Junius!
Siasa za kampeni ni pamoja na kuanikwa udhaifu wako,CHADEMA au CCM lzm watumie udhaifu wa upande ungine kujizolea wafuasi na hiyo sio usanii hata kidogo bali ni mbinu,tofautisha vitu hivyo 2 utagundua kuwa unazidi kutokota hapa JF!
Hatukukusikia kuita usanii wakati CCM ilipoamua kumuita kiongozi wa juu wa CHADEMA kama ni mbumbumbu kwa sababu tu ya darasa la elimu ya 7 lkn wakashindwa kusema viongozi wao kama Makamba wana elimu gani,pia wakasahau kuwa hata "wazee wetu" waliotuongoza kwenye uhuru hadi wakaja kuongoza dola kama vile Mzee Karume au Mzee Kawawa walikuwa na kiwango gani cha elimu!
Acha unazi wako usio na msingi Junius!
Tatizo la mama Salma anashindwa kusoma alama za nyakati. Wenzie walikuwa kimya huwaoni katika mihadhara ya siasa kwani wanafanya mambo ya kimya kimya!!!!
Na ofcourse by so doing awe tayari kupigwa vijembe, kashfa, kuzushiwa etc. ndiyo siasa hiyo!
Nilisha wahi kusema huu ukoo ni limbukeni wameingia siasa kichwa kichwa itakuja kuwaumbua wote kwa mpigo kuanzia baba mama hadi mtoto wao wa mwisho. Hiyo kinga ya baba yao wanayoitegemea mambo yakisarambuka nchini wasifikiri itawasaidia labda kwa kupata hifadhi nje ya nchi.Tatizo la mama Salma anashindwa kusoma alama za nyakati. Wenzie walikuwa kimya huwaoni katika mihadhara ya siasa kwani wanafanya mambo ya kimya kimya!!!!
Nyinyi wananchi hamjui kama Makamba alikuwa mwalimu mkuu wa shule ya msingi... mimi najua sasa anieleze kwa nini alifukuzwa kama mwalimu mkuu? Asiposema mimi nitamaliza, aliahidi Dk Slaa huku umma ukimsikiliza kwa makini.
USIPOKUWA TAYARI KULIWA KIDOGO HULI, SASA WEWE UNATAKA KULA TU BILA KULIWA HAIWEZEKANI, HILO NALO NENO!:lol:
Wana JF hivi hawa viongozi wa CCM wanapokuwa wanalipuliwa hivi halafu kesho yake wakikutana kwenye vikao vyao vya ndani ya chama hivi mioyoni mwao huwa wanafikiria vitu gani? Mi nadhani kwa nafsi zao huwa wanasema Mh,nafuu mimi nina madhambi amchache mwenzangu fulani(Makamba) kazidi au huwa wanataniana wakikutana maana hii nia aibu kweli kweli.
Kwenye siasa haya mambo yapo huwezi kuyatenganisha, angalia nchi zinazotuzidi kidemokrsia zinazozipa umuhimu wa kwanza sera kama US na UK lakini personal attachs huwa hazikosekani sembuse sisi. Kwa taarifa yako wasikilizaji wengi kwenye mikutano ya kampeni hupenda kusikia vitu kama hivi mipasho, miziki nk ndiyo maana CCM hutumia muda mwingi kusikiliza bongo flava zaidi ya kuelezea sera. Kwenye mikutano ukienda bila muziki, bongo flava kidogo mipasho kidogo hupati mtu.Scandals za kila aina zitaendelea kuibuliwa wakati huu wa uchaguzi hakuna mtu safi kwa 100%.Ni vizuri vyama vya siasa vikajikita zaidi katika kunadi sera za vyama vyao na kuachana na mipasho.Kwani muda wa kampeini ni mfupi kuuza au kunadi sera za chama chako na kujibu mipasho,stay fucused on big picture SERA ZAKO.
Mkuu nilichosema ni kuwa hapana kampeni ni mipasho tu, nilichomaanisha ni hatua hii ya CCM na Chadema kurushiana matusi katika vyombo vya habari imekuwa kama mipasho ya taarabu vile. Kama upenzi mimi nina mapenzi na CUF ambacho tumezinduwa kampeni zetu kwa utulivu na hatuna mda wa kujibizana na akina Makamba na Kinana wanaolipwa kwa kazi ya kusema ovyo tu.Unajua Junius huwa anaongelea upenzi zaidi kuliko facts kwa hiyo mimi huwa simchukulii serious.
Bado nasisitiza kama utaona ni upenzi au unazi sawa, CCM wanawapotezea mda chadema kwa kuwaingiza kwenye kampeni za matusi ambazo wao weshazizowea, wanavitengo vya propaganda vizuri vinachochea hiyo hali na yao yanawaendea, shauri zenu!!
Hata mimi nilishawahi kusikia story kama hizi lakini zikafichwa fichwa si unajua wenzetu walivyo na nguvu hadi kwenye media. Lakini sasa wameyataka wenyewe siye yetu macho na masikio. Ngoja tusubiri lazima kuna mwenye angalau data zake ama walifundisha pamoja au aliguswa na tukio kwa namna moja au nyingine. Mwenye data please.
JuniusMalafyale,
Call me any name you want...nasimama hapo hapo kuwa kampeni za matusi hazimfawi mgombea au chama chochote, kwani mwisho wa siku si matusi, kwa wale wanaopiga kura kwa malengo, watakayochaguwa bali sera.
CCM wanampotezea mda na malengo Dr. Slaa, nayeye ameacha kampeni anaendekeza bwabwaja za akina Makamba na Kinana. Mtu akiacha mambo ya maana na kuzungumzia mambo binafsi ya watu anakuwa hana hoja huyo.
Hayo mambo 'negatives'unayosema si matusi na kukashifiana au labda niwe sijuwi maana ya kampeni, naomba unieleweshe tafadhali.
Mkuu, huu si mda wa kutafuta wafuasi,nionanvyo , bali ni mda wa kutafuta kura ambazo nazo hazipatikani kwa matusi na kashfa zidi ya mgomnbea mwengine.
Mi mnazi lakini si mnafiki, msimamo wangu nimeweka wazi, kuna mnaofuata mkumbo wa watu hata kwa mambo ya kipuuzi kama haya yasiyokuwa na faida na unaona haya mtu kuyakataza kwa kuhofia kuambiwa eti wewe si chadema.
Na juwa kwa JF usipokuwa chadema unabambikwa U-CCM, mimi sijali msimamo wangu naujuwa na sijapata kuyumba kwa mambo ya kinafiki kama ya humu JF eti wanampinga JK halafu wanakiunga mkono chama chake, umeona wapi mambo hayo? kama hafai ni yeye na chama chake