Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Angekaa kwenye uchumba kwa mda mrefu angetambua tabia za mwanamke. Yameshatokea! Aaachane nae haraka! Hata kama ni ndio ya kikristu asiangalie makunyanzi, tafuta mwanamke anayeendana na sera zako.